Nimeamua kuachana na aina zote za kamari

aaa wapi kaka we acha tu,

mwezi uliopita tu ninevuta altezer kwa ajili betting,,

poleeee,

TUACHIE SIE
 
Umalaya nayo ni kamali je umeacha na umalaya?
 
Dawa...kubet ni kaz kama kaz nyingine..tafuta odds 2 kila cku weka mzigo...utaona faida.....YALE MA SLOT MASHINE YA wachina dawa yake ni kifaa kinaitwa EMP slot jammer...acha uoga kazi iendeleeee
 
Dawa...kubet ni kaz kama kaz nyingine..tafuta odds 2 kila cku weka mzigo...utaona faida.....YALE MA SLOT MASHINE YA wachina dawa yake ni kifaa kinaitwa EMP slot jammer...acha uoga kazi iendeleeee
pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…