Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demons are real usidhani ni utani ariifu,Wengine ni kujitoa ufahamu tu ila labda mizuka tu ya 6 kwa 6 inafanya watu wanafunguka. Nasikia daslam watu wana ahidi mark x kwa goli la kwanza la sekunde 15.
Eeh ni lyrics hapo lil wayne anaflow...Ni lyrics hizo?
Wacha weeNikukatie basi wewe msupuu ukuwe wangu alone. One n only bae.
Usivue Shati vua Chupi tuone mpaka huko next door jinsi kulivyomzuka ukipanda na hili shati navua acha uongoooo 🥳🥳 🎶🎶🎶
Kata tembea usijiweke mazima bablai,Nifanyeje sasa bablai
Weeeeee usiniambie!!!!!Hilo neno limenipa …… nimemmiss mtoto wa mama mkwe
Kwann wasichukiwe wadigo wa Tanga au wanyakyusa wa mbeya?Ni chuki tu chaliangu ambao mnazo.
Kwani ulimkuta bikra? Au ulijua hawamkamui tui wanaume wengine acha hayo bwanamdogo demu ukiwa nae ndo wako ukiondoka wanabadili wengineMimi kiingereza nakijua sana mkuu sibabaiki. Yani manzi akuambie kuwa unampelekea moto vizuri kuliko wanaume wengine?
Kazi yako ilikua ni kula mzigo tuu...😀😀Duh basi huyu mama la mama atakuwa mpenzi wa miziki ya kimambefele
Haina kelele bablai sisi Wachugastan ni watu wa amani sana. Kama una hate haina kelele dingi yangu. Maana siku zote kizuri huwa kinapendwa na kuchukiwa na watu shazi. Uwezi mchukia Mdigo maana hana njaro yoyote mpya. Au unabongaje bablai Extrovert Chaliifrancisco BushmamyKwann wasichukiwe wadigo wa Tanga au wanyakyusa wa mbeya?
Sio chuki...ni ukweli.
Sema kama umetoka kuvuta bangi, huwezi elewa