Nimeamua kuachana naye baada ya kuniambia maneno haya

Nimeamua kuachana naye baada ya kuniambia maneno haya

Yeees Demons are real, tunaishi nao
Wengine ni kujitoa ufahamu tu ila labda mizuka tu ya 6 kwa 6 inafanya watu wanafunguka. Nasikia daslam watu wana ahidi mark x kwa goli la kwanza la sekunde 15.
 
Wengine ni kujitoa ufahamu tu ila labda mizuka tu ya 6 kwa 6 inafanya watu wanafunguka. Nasikia daslam watu wana ahidi mark x kwa goli la kwanza la sekunde 15.
Demons are real usidhani ni utani ariifu,
 
Mimi kiingereza nakijua sana mkuu sibabaiki. Yani manzi akuambie kuwa unampelekea moto vizuri kuliko wanaume wengine?
Kwani ulimkuta bikra? Au ulijua hawamkamui tui wanaume wengine acha hayo bwanamdogo demu ukiwa nae ndo wako ukiondoka wanabadili wengine
 
Kwann wasichukiwe wadigo wa Tanga au wanyakyusa wa mbeya?
Sio chuki...ni ukweli.
Sema kama umetoka kuvuta bangi, huwezi elewa
Haina kelele bablai sisi Wachugastan ni watu wa amani sana. Kama una hate haina kelele dingi yangu. Maana siku zote kizuri huwa kinapendwa na kuchukiwa na watu shazi. Uwezi mchukia Mdigo maana hana njaro yoyote mpya. Au unabongaje bablai Extrovert Chaliifrancisco Bushmamy
 
Back
Top Bottom