Nimeamua kuachana naye baada ya kuniambia maneno haya

Kwani ulimkuta bikra? Au ulijua hawamkamui tui wanaume wengine acha hayo bwanamdogo demu ukiwa nae ndo wako ukiondoka wanabadili wengine
Ndo ukweli mchungu huo dingi yangu ila kupata mamsii ataekuchana hivyo ni kelele. Wengi wana pretend kuwa wako single kumbe kwenye foleni uko wa tenga dala (1500)
 
So ulimuokota club ukajua huwa hapelekewi moto na other niggaz?
Uliplan aje kuwa mke?
Alivokuwa msupuu asee niliplan angekuwa fuckmate wa muda mrefu
 
😁😁😁 ss mkuu si kakusifia ss ww umekasirika nn
 
MTATUBUU mwaka huu😅😅
 
Nikisema msupuu ni kisu kinyama, sanchoka arudi kindergarten arif
Mkuu jaribu kua na akili ya uelewa,issue sio uzuri wa huyo demu wala ubaya wa huyo demu,issue hapa ni kua ulifikiri huko nyuma hakua na hao Niggas wengine? halafu hiyo kukwambia sijui u are better than others ni mbinu ya kivita tu hiyo,alikuingiza chaka na wewe ukaingia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…