Nimeamua kuachana naye baada ya kuniambia maneno haya

Bablai pelekea moto hiyo manzi fanya kuliwakilisha taifa vyema.
 
Kwan alikwambia yeye ni bikraa ?? Dem umemkuta club unataka uwe unakula mwenyewe ??
 
Alafu chuga hakuna mbwiga kihivyo aisee unaaibisha masela.
 
Manzi mmekutana club alafu awe wako peke yako , we ulisikia WAP, wee ungeendelea tu kumpekelea moto tu na bila kusahau ndom
 
Kwaiyo quica ulicho chukia apo ni nini hasa?kukwambia kuwa u good than the other nigas ,ulikuwa unataka uwe pekeyako lazma ukubali kuwa she was with the others niggas
 
La Quica
Mkuu Nairobi ina mambo mengi sana lazima ujiandae kisaikolojia kudate na demu wa Nairobi.Tunaishi nao tunajua maneno yao ya ulaghai.

Kwa lugha ya sheng ni [emoji1]
Morio! Kanairo ni kukemba, ni lazima ukae Rada na yengs wa kanairo.
 
Rich Gang feat. Lil Wayne, Birdman, Mack Maine, Nicki Minaj & Future - Tapout
 
Hey wewe uzani pusi niyako tu ukitaka iambie itulie uwe unaichakata wewe
 
Kwani ulimkuta bikra?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…