Oppotunity
Member
- Sep 9, 2013
- 38
- 12
heshima kwenu wanandugu...
Nayapenda sana maisha yangu na ninapenda sana nifanikiwe maishani hivyo sina budi kufanya hivi ili kusonga mbele. mimi ni mwanachuo katika chuo mojawapo hapa tz na kwasasa nina hali ngumu sana ya kifedha licha ya kujaribu njia tofauti ili kujikwamua na kusonga mbele.
Ninataka kuuza baadhi ya VIUNGO vya mwili wangu ili nipate walau ada ya kuendelea na masomo yangu niwe na maisha mazuri niweze kuwasaidia wadogo zangu na familia kwa ujumla.
Afya yangu kwa ujumla ni nzuri (99% uhakika) na ninataka niuze;
~FIGO ~KONGOSHO ~MBEGU ZA KIUME au DAMU ikiwezekana. hapa nachoomba kutoka kwenu ni kama kuna mtu yeyote anaejua ni hospitali gani au taasisi gani inanunua bidhaa hizo?. i am very serious and i will apreciate you contribution
Nayapenda sana maisha yangu na ninapenda sana nifanikiwe maishani hivyo sina budi kufanya hivi ili kusonga mbele. mimi ni mwanachuo katika chuo mojawapo hapa tz na kwasasa nina hali ngumu sana ya kifedha licha ya kujaribu njia tofauti ili kujikwamua na kusonga mbele.
Ninataka kuuza baadhi ya VIUNGO vya mwili wangu ili nipate walau ada ya kuendelea na masomo yangu niwe na maisha mazuri niweze kuwasaidia wadogo zangu na familia kwa ujumla.
Afya yangu kwa ujumla ni nzuri (99% uhakika) na ninataka niuze;
~FIGO ~KONGOSHO ~MBEGU ZA KIUME au DAMU ikiwezekana. hapa nachoomba kutoka kwenu ni kama kuna mtu yeyote anaejua ni hospitali gani au taasisi gani inanunua bidhaa hizo?. i am very serious and i will apreciate you contribution