Na kweli Mungu kafanya njia,huyu hapa kashapona Shukrani zangu za dhati kwa wanaJF kuniokoa na kifoHili tatizo sijui ni mwana saikolojia au daktari gani ataliweza ,mtu ameanza kulatiwa toka akiwa mtoto mpaka kufikia miaka 35 ??? Mungu pekee ndie anaweza kuingilia kati
Ahahahahahahahahahaha!!!Update........
Nipo msibani hapa....maiti ndiyo imepelekwa mochwari kwa ajili ya kuhifadhiwa.......ni kweli marehemu amejinyonga kwa sumu ya panya....
Tayari wakina mama wanatekeleza majukumu yao huko jikoni.....wameanza supu kwa waombolezaji kabla ya biriani......
Kwa uchungu nilionao wa kuondokewa na dada yetu kipenzi....ooooohh sorry Mwana JF mwenzetu nitakuwa hapa msibani mpaka watakapoanua matanga.....nitajikita zaidi upande wa jikoni.......
Nitaendelea kuwapa upadate kwa kadri nitakavyoona.....
Yote yanawezekana chini ya utawala wa shetani....Nimejaribu kutafakari baba mzazi anawezaje kumlawiti mwanae?
Sidhani kama mama mzazi anaweza kuingiliwa kimwili na mwanae!
Haha Brenda na ashukuriwe aliye juuNa kweli Mungu kafanya njia,huyu hapa kashapona Shukrani zangu za dhati kwa wanaJF kuniokoa na kifo
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 35. Kwetu nimezaliwa peke yangu. Nilipokuwa na miaka mitano mama yangu mzazi alifariki.
Nyumbani tukabaki mimi na baba tu, baada ya muda kidogo baba alianza tabia ya kunilawiti kila siku, mwanzoni niliumia sana lakini baadae nilifurahia hali hiyo na nilikuwa saa zingine nakumbushia mwenyewe kutokana na kuwa na muwasho ambao nikifanya natulia.
Hali hiyo imepelekea mimi kuwa shoga. Ninachukiwa sana hapa mtaani na watu kwa sababu ya ushoga wangu, nimenusurika kuuawa mara mbili kwasababu hiyo. Hakuna sehemu ninayopendwa, nimekata shauri kujimaliza usiku huu wa leo.
Nimeshanunua sumu ya panya ili kutimiza hilo na naandika huu ujumbe nikiwa guest house moja hivi maeneo ya DSM.
Nawaomba msamaha wale wote niliowakosea humu ndani hasa tatty, kwaherini wapendwa wote, tutaonana ahera.
Kwaherini nyote.
Hahahahaaaaa sikuonaga hii,dah nimecheka sana!Hili tatizo sijui ni mwana saikolojia au daktari gani ataliweza ,mtu ameanza kulatiwa toka akiwa mtoto mpaka kufikia miaka 35 ??? Mungu pekee ndie anaweza kuingilia kati
Lol[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hili tatizo sijui ni mwana saikolojia au daktari gani ataliweza ,mtu ameanza kulatiwa toka akiwa mtoto mpaka kufikia miaka 35 ??? Mungu pekee ndie anaweza kuingilia kati