Nimeamua kujinyonga, kwaherini wana JF

Nimeamua kujinyonga, kwaherini wana JF

Mkuu kama bado hujakata roho tuelekeze upo eneo lipi ili upatiwe msaada wa kiimaini na kisaikologia tafadhali.
 
Hili tatizo sijui ni mwana saikolojia au daktari gani ataliweza ,mtu ameanza kulatiwa toka akiwa mtoto mpaka kufikia miaka 35 ??? Mungu pekee ndie anaweza kuingilia kati
 
Hivi mtu mwenye utimamu unaanzaje kuwaza kufa?hata kama maisha yaweje,hata upitie katika magumu yapi naamini lazima ipo siku mambo yatakua mazuri.
Kila la kheri kwenu umauti wako.
 
Poor him...post zake nyingi nilikuwa sizielewi elewi kumbe yuko hivi! Dah sijui kashavuta kweli!
 
Nimejaribu kutafakari baba mzazi anawezaje kumlawiti mwanae?
Sidhani kama mama mzazi anaweza kuingiliwa kimwili na mwanae!
 
Update........

Nipo msibani hapa....maiti ndiyo imepelekwa mochwari kwa ajili ya kuhifadhiwa.......ni kweli marehemu amejinyonga kwa sumu ya panya....

Tayari wakina mama wanatekeleza majukumu yao huko jikoni.....wameanza supu kwa waombolezaji kabla ya biriani......

Kwa uchungu nilionao wa kuondokewa na dada yetu kipenzi....ooooohh sorry Mwana JF mwenzetu nitakuwa hapa msibani mpaka watakapoanua matanga.....nitajikita zaidi upande wa jikoni.......

Nitaendelea kuwapa upadate kwa kadri nitakavyoona.....
 
Update........

Nipo msibani hapa....maiti ndiyo imepelekwa mochwari kwa ajili ya kuhifadhiwa.......ni kweli marehemu amejinyonga kwa sumu ya panya....

Tayari wakina mama wanatekeleza majukumu yao huko jikoni.....wameanza supu kwa waombolezaji kabla ya biriani......

Kwa uchungu nilionao wa kuondokewa na dada yetu kipenzi....ooooohh sorry Mwana JF mwenzetu nitakuwa hapa msibani mpaka watakapoanua matanga.....nitajikita zaidi upande wa jikoni.......

Nitaendelea kuwapa upadate kwa kadri nitakavyoona.....
Ahahahahahahahahahaha!!!
 
KWANI UNAMPANGO WA KUENDELEA NA HIYO TABIA...KAMA NDIYO BASI HAPAN SHAKA HAPA WAITANGAZA YAKO BIASHARA..WATAKA BEMBELEZWA EEE
 
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 35. Kwetu nimezaliwa peke yangu. Nilipokuwa na miaka mitano mama yangu mzazi alifariki.

Nyumbani tukabaki mimi na baba tu, baada ya muda kidogo baba alianza tabia ya kunilawiti kila siku, mwanzoni niliumia sana lakini baadae nilifurahia hali hiyo na nilikuwa saa zingine nakumbushia mwenyewe kutokana na kuwa na muwasho ambao nikifanya natulia.

Hali hiyo imepelekea mimi kuwa shoga. Ninachukiwa sana hapa mtaani na watu kwa sababu ya ushoga wangu, nimenusurika kuuawa mara mbili kwasababu hiyo. Hakuna sehemu ninayopendwa, nimekata shauri kujimaliza usiku huu wa leo.

Nimeshanunua sumu ya panya ili kutimiza hilo na naandika huu ujumbe nikiwa guest house moja hivi maeneo ya DSM.

Nawaomba msamaha wale wote niliowakosea humu ndani hasa tatty, kwaherini wapendwa wote, tutaonana ahera.

Kwaherini nyote.

Nikiuona huko ahera nami narudi. Ahera hawaendi watu ka weye, wenye mioyo migumu ka jiwe. Mchezo umesema uliupenda sasa unatishia kujiua, si useme umekosa mkunaji wako kwa sababu ya uchafu wako? Nenda fika salama, msalimie kungwiiiii
 
Hili tatizo sijui ni mwana saikolojia au daktari gani ataliweza ,mtu ameanza kulatiwa toka akiwa mtoto mpaka kufikia miaka 35 ??? Mungu pekee ndie anaweza kuingilia kati
Hahahahaaaaa sikuonaga hii,dah nimecheka sana!
 
Hahahahaaaaa sikuonaga hii,dah nimecheka sana!
Haha Nifah kuna mambo mengine inabidi tu umwachie Mungu maana kibinadamu haliwezekani ,ila nimepata faraja jamaa kachagua kuishi badala ya kujiua
 
Tangulia kwa amani.
Bora umejinyonga kwa sumu ya panya, umevumbua 'a 10001 way to die.'
 
Hili tatizo sijui ni mwana saikolojia au daktari gani ataliweza ,mtu ameanza kulatiwa toka akiwa mtoto mpaka kufikia miaka 35 ??? Mungu pekee ndie anaweza kuingilia kati
Lol[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hili jibu nalo lilikuwa kiboko
 
Back
Top Bottom