Nimeamua kujinyonga, kwaherini wana JF

Nimeamua kujinyonga, kwaherini wana JF

Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 35. Kwetu nimezaliwa peke yangu. Nilipokuwa na miaka mitano mama yangu mzazi alifariki.

Nyumbani tukabaki mimi na baba tu, baada ya muda kidogo baba alianza tabia ya kunilawiti kila siku, mwanzoni niliumia sana lakini baadae nilifurahia hali hiyo na nilikuwa saa zingine nakumbushia mwenyewe kutokana na kuwa na muwasho ambao nikifanya natulia.

Hali hiyo imepelekea mimi kuwa shoga. Ninachukiwa sana hapa mtaani na watu kwa sababu ya ushoga wangu, nimenusurika kuuawa mara mbili kwasababu hiyo. Hakuna sehemu ninayopendwa, nimekata shauri kujimaliza usiku huu wa leo.

Nimeshanunua sumu ya panya ili kutimiza hilo na naandika huu ujumbe nikiwa guest house moja hivi maeneo ya DSM.

Nawaomba msamaha wale wote niliowakosea humu ndani hasa tatty, kwaherini wapendwa wote, tutaonana ahera.

Kwaherini nyote.
"kwanza kufirwa mtu yeyote ni kutiwa mkosi, pili hata ukifa msalimie Lucifa Kuzimu"
 
Atakua amekufa labda huyu jamaa, hivi aliemuambia kufa ni jibu ninani aisee kama alikua shoga hapa anaeza na huko kifoni akaendelewa kuliwa
 
The wackal
Senior Member

Profile Page Start a Conversation Follow Ignore
Member Since:
Jul 1, 2011
Messages:57
Likes Received:10
Trophy Points:8
The wackal was last seen:
42 minutes ago

huu uzi toka Nov. 16.2015

bado hujafa unachungulia uzi wako kimya kimya au ndio ulikua unajitangazi soko humu?
Naomba nitoe ufafanuzi; Huu uzi niliuweka mwaka jana Nov 16, nikiwa frustrated sana, nashukuru Mungu, kuna wana JF walinifuata inbox baada ya uzi huu, na mmoja wao alinisaidia sana, na hadi hivi sasa naendelea na sessions za kuonana na pyschologist kama nilivyoelezea kwenye thread yangu ya shukrani kwenye huu uzi https://www.jamiiforums.com/threads...ti-kwa-wanajf-kuniokoa-na-kifo.1006552/unread
Moderators awali waliufuta huu uzi, lakini waliurudisha baada ya mimi kuweka uzi wa shukrani kwa ajili ya reference, na hivyo kuonekana kama vile ni uzi mpya kumbe ni wa siku nyingi.
Ahsanteni wote pia kwa kejeli zenu, zinanipa mafunzo na nfuvu zaidi ya kusonga mbele
Tee Bag
 
Naomba nitoe ufafanuzi; Huu uzi niliuweka mwaka jana Nov 16, nikiwa frustrated sana, nashukuru Mungu, kuna wana JF walinifuata inbox baada ya uzi huu, na mmoja wao alinisaidia sana, na hadi hivi sasa naendelea na sessions za kuonana na pyschologist kama nilivyoelezea kwenye thread yangu ya shukrani kwenye huu uzi https://www.jamiiforums.com/threads...ti-kwa-wanajf-kuniokoa-na-kifo.1006552/unread
Moderators awali waliufuta huu uzi, lakini waliurudisha baada ya mimi kuweka uzi wa shukrani kwa ajili ya reference, na hivyo kuonekana kama vile ni uzi mpya kumbe ni wa siku nyingi.
Ahsanteni wote pia kwa kejeli zenu, zinanipa mafunzo na nfuvu zaidi ya kusonga mbele
Tee Bag
Achana nao mkuu
 
Ahsante sana mkuu, Mwenyezi Mungu akubariki sana!!
"Wabarikini watakaowatukana",jibu lako limenifanya niikumbuke hiyo mistari hapo ya kwenye Bible na nimejifunza kitu hapa,safi sana kaka..na pole kwa matatizo uliyopitia.
 
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 35. Kwetu nimezaliwa peke yangu. Nilipokuwa na miaka mitano mama yangu mzazi alifariki.

Nyumbani tukabaki mimi na baba tu, baada ya muda kidogo baba alianza tabia ya kunilawiti kila siku, mwanzoni niliumia sana lakini baadae nilifurahia hali hiyo na nilikuwa saa zingine nakumbushia mwenyewe kutokana na kuwa na muwasho ambao nikifanya natulia.

Hali hiyo imepelekea mimi kuwa shoga. Ninachukiwa sana hapa mtaani na watu kwa sababu ya ushoga wangu, nimenusurika kuuawa mara mbili kwasababu hiyo. Hakuna sehemu ninayopendwa, nimekata shauri kujimaliza usiku huu wa leo.

Nimeshanunua sumu ya panya ili kutimiza hilo na naandika huu ujumbe nikiwa guest house moja hivi maeneo ya DSM.

Nawaomba msamaha wale wote niliowakosea humu ndani hasa tatty, kwaherini wapendwa wote, tutaonana ahera.
Ndugu Marehe The wackal,
Kwaherini nyote.

Ndugu Marehemu, ulifka salama ?
 
Back
Top Bottom