Gien Banks
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 336
- 887
Poleni na mapambano ndugu wana JF
Husika na kichwa cha habari
Katika pita pita zangu za hapa na pale wakuu nimeona nifanye biashara ya mkaa (ni wazo ila niko finishing stages ni execute idea)
Yani ninunue kwa wanaoleta mkaa mjini kwa jumla. Magunia kadhaa niyachane na kuuza reja na jumla maeneo ya makazi ya watu.
Sababu zangu ni hizi:
1. Mkaa hauozi utachelewa kutoka ila utaisha
2. Unahesabika yani hesabu zake za biashara kdgo ni rahisi sio pasua kichwa
3. Kwa mtazamo wangu bado soko lipo japo changamoto za majiko ya gas.
4. Eneo la biashara ni kijitonyama / karibu na sinza
Nimewekeza sehem nyingi sana biashara ambazo ni classy and so called za kisomi ila hamna maajabu yeyote zaidi ya hasara na mtaji kukata. Unatoa mfuko wa kushoto ili kujazilizia mfuko wa kulia ilhali mfuko wa kulia una tundu umetoboka. So ndio hivyo wandugu.
Nakaribisha ushauri / maoni / kukosolewa / kuboreshwa wazo na mtazamo wa hyo biashara husika.
Ahsanteni na mbarikiwe 🤝
Husika na kichwa cha habari
Katika pita pita zangu za hapa na pale wakuu nimeona nifanye biashara ya mkaa (ni wazo ila niko finishing stages ni execute idea)
Yani ninunue kwa wanaoleta mkaa mjini kwa jumla. Magunia kadhaa niyachane na kuuza reja na jumla maeneo ya makazi ya watu.
Sababu zangu ni hizi:
1. Mkaa hauozi utachelewa kutoka ila utaisha
2. Unahesabika yani hesabu zake za biashara kdgo ni rahisi sio pasua kichwa
3. Kwa mtazamo wangu bado soko lipo japo changamoto za majiko ya gas.
4. Eneo la biashara ni kijitonyama / karibu na sinza
Nimewekeza sehem nyingi sana biashara ambazo ni classy and so called za kisomi ila hamna maajabu yeyote zaidi ya hasara na mtaji kukata. Unatoa mfuko wa kushoto ili kujazilizia mfuko wa kulia ilhali mfuko wa kulia una tundu umetoboka. So ndio hivyo wandugu.
Nakaribisha ushauri / maoni / kukosolewa / kuboreshwa wazo na mtazamo wa hyo biashara husika.
Ahsanteni na mbarikiwe 🤝