Unaonaje na yeye Mama akitumia lugha ngumu kwa wapinzani wake na akitumia nguvu kidogo ya madaraka yake kwa wapinzani atakuwa amefanya sawasawa?Sasa kwenye siasa kusema utamnyoa kunashida gani? Mama lazima apewe changamoto anaendesha taifa sio kigango cha mtakatf Teresa!
Atapewa lugha ngumu,atachorwa,atasifiwa,atazomewa na anapaswa kuyastahimili hii nchi tusilazimishane wooote tutumie busara moja zipo busara mbalimbali katika udai uwajibikaji!! Kunyolewa sio tusi inategemeana na akili zamtu
Mkuu hapa anazungumziwa Mama Samia na sio Magufuli ingekuwa mdude kauli hii ameitoa dhidi ya Mwendazake hakuna angeihoji ila ameitoa dhidi ya Rais Samia ndipo swali linapokuja kauli ya Mdude kwa Mama Samia yupo sahihi?Tuonyeshe mahali ulipokemea Magufuli akisema watu wabaki na mavi yao nyumbani.
Niliyemquote kanielewa.Mkuu hapa anazungumziwa Mama Samia na sio Magufuli ingekuwa mdude kauli hii ameitoa dhidi ya Mwendazake hakuna angeihoji ila ameitoa dhidi ya Rais Samia ndipo swali linapokuja kauli ya Mdude kwa Mama Samia yupo sahihi?
Kwani Warioba ana katiba?Tafuta katiba ya warioba afu pigia mstari
Kwahiyo huyo mdude wenu ni shujaa?Kwa hiyo Samia asiguswe? Kwa sababu yeye ni malaika? Kuna viongozi walitukanwa sana na wengine bado wanatukanwa tena matusi zaidi ya hicho alichoambiwa SASHA,lakini hamkusema na hamsemi chochote,lakini leo kaguswa mpendwa wenu mmejawa na huruma,maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge acha ayaonge na yeye kama yana upupu atajikuna.
Fatilia siasa za nchi zilizoendelea walotuletea hata hii demokrasia labda utaelewa...Unaonaje na yeye Mama akitumia lugha ngumu kwa wapinzani wake na akitumia nguvu kidogo ya madaraka yake kwa wapinzani atakuwa amefanya sawasawa?
Maneno machafu aliyoyasema hiyo jamaa ni yapi?Huyu kijana kakosea sana yapaswa aombe msamaha kwa kutenda kosa lake.
Huyu Rais mama SSH hana maneno machafu kabisa kumtamkia maneno machafu ni kutomtendea haki.
Ndio n shujaa. Ccm hawawezi kuweka katiba mpya kwa kuwapaka mafuta. Kea sababu wanajua Ndio mwisho wao. Lazima uende nao kibabe kama anavyofanya mdude.Kwahiyo huyo mdude wenu ni shujaa?
Uliingia chadema kumfata mdude? Unakoenda unamfata mwanaume gani mwingine? Are you a man? Pole unautoto ubongoni! Kimsingi kukatalia katiba ni dharau kubwa sana kwa watz, watu wameteswa, wamepotea, wameumia kwa katiba kushindwa kuweka misingi bora ya kistaarabu katika taifa! MTU yeyote anayezuia katiba hastahili heshima kabisa.
Uliingia chadema kumfata mdude? Unakoenda unamfata mwanaume gani mwingine? Are you a man? Pole unautoto ubongoni! Kimsingi kukatalia katiba ni dharau kubwa sana kwa watz, watu wameteswa, wamepotea, wameumia kwa katiba kushindwa kuweka misingi bora ya kistaarabu katika taifa! MTU yeyote anayezuia katiba hastahili heshima kabisa.
πΉπΉπΉWakuu,
Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.
Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekuwa sawa kabisa maana bwana yule naye alikuwa na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.
Lakini kwa mama sidhani kama ilikuwa ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.
Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.
Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"
Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.
Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.
Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.
Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.
Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Sisi tunachotaka ni katiba mpyaMm pia nlikua chadema, skuwahi kua mwanachama ila nlipiga kura chadema kwa sababu nna undugu wa karibu sana na kiongozi mmoja mkubwa sana wa chadema ila sio mbowe, but ni kiongozi mkubwa! baada ya ilo event ya lowassa nadhan skuwahi kuangalia nyuma tena
- Mlikua mnakubalika sana ila kwa kua mmendekeza ubishi kuliko ushauri wa wananchi haya ndo mlioyavuna
View attachment 1842684
- this is all your left with, na hapo sio wote ni chadema maana wapo wengi walikuja kumshangaa lissu. 5 years from now mtajua mpo wap wakati chama kingine kinachukua nafasi yenu, namwona Zito anacheza karata zake vizuri sana
Mkuu tangu lini uamsho mkawa wafuasi wa chadema?Wakuu,
Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.
Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekuwa sawa kabisa maana bwana yule naye alikuwa na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.
Lakini kwa mama sidhani kama ilikuwa ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.
Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.
Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"
Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.
Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.
Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.
Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.
Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Kama Ni mawazo yake kwa Nini ameyaleta hapa?Mtoa mada ana hoja ya msingi ni Bora tukaheshimu mawazo yake