Nimeamua kujitoa muhanga

Nimeamua kujitoa muhanga

Sambali Boy

Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
31
Reaction score
5
Baada ya kuona maisha yamekua magum nyumban na uwezekano wakwenda shule mwaka huu kuwa mgum nimeamua kujtoa muhanga kwenda mkoa wa iringa ili kuangalia fursa mbalmbal ambazo zaweza kúnisaidia labda mwakan nikaenda shule nahuko cna ndugu yeyote. Nilikua naomba kwa mwenyej wa iringa anisaidie kunifahamisha kuhsu mazngra kiujumla pamoja na fursa znazopatkana huko ili zinsaidie ktk maandaliz yang. Nisaidien ndug yenu, mawazo yenu ndio msaada wangu.
 
Mtafute Chriss Lukosi ana ndugu huko anaweza kukusaidia mzee wa boksi
 
hongera ila hujasema unataka kwenda kuangalia fursa gani? kilimo? ufugaji au biashara tu ili tukupe majina ya wadau walio huko. Kama kilimo kuna jf group wanafanya project waweza mtafuta Malila, mengine kwakweli utapata ukifika
 
hongera ila hujasema unataka kwenda kuangalia fursa gani? kilimo? ufugaji au biashara tu ili tukupe majina ya wadau walio huko. Kama kilimo kuna jf group wanafanya project waweza mtafuta Malila, mengine kwakweli utapata ukifika

Shortly nikwamba huku nilikua mjasiliamali wa matofali ya kuchoma but now imekua ngumu kwa7bu gharama za uendeshaj zmekuwa kubwa wakat tofali likiwa halipand bei, hicho ndicho ninauzoefu nacho mkubwa.
Kingne labda ni mambo ya ufund wa furnitures lakñ hyo cjaiva xaana kivile, Swala la kilimo lenyewe pia sio mzoefu sana lakn naweza.
 
hongera ila hujasema unataka kwenda kuangalia fursa gani? kilimo? ufugaji au biashara tu ili tukupe majina ya wadau walio huko. Kama kilimo kuna jf group wanafanya project waweza mtafuta Malila, mengine kwakweli utapata ukifika

Shortly nikwamba huku nilikua mjasiliamali wa matofali ya kuchoma but now imekua ngumu kwa7bu gharama za uendeshaj zmekuwa kubwa wakat tofali likiwa halipand bei, hicho ndicho ninauzoefu nacho mkubwa.
Kingne labda ni mambo ya ufund wa furnitures lakñ hyo cjaiva xaana kivile, Swala la kilimo lenyewe pia sio mzoefu sana lakn naweza.
 
Shortly nikwamba huku nilikua mjasiliamali wa matofali ya kuchoma but now imekua ngumu kwa7bu gharama za uendeshaj zmekuwa kubwa wakat tofali likiwa halipand bei, hicho ndicho ninauzoefu nacho mkubwa.
Kingne labda ni mambo ya ufund wa furnitures lakñ hyo cjaiva xaana kivile, Swala la kilimo lenyewe pia sio mzoefu sana lakn naweza.
Kuna uzi uliuleta hapa jana unasema we ni mwanamzki na unataka kusaidiwa utoe nyimbo yko..imekuaje tena?
 
Kuna uzi uliuleta hapa jana unasema we ni mwanamzki na unataka kusaidiwa utoe nyimbo yko..imekuaje tena?

Nikwel nalo nimoja ya mipango yangu lakn kama nilivokwishakúsema kwa mdau mmoja kua mfamaji haachi kutapatapa chochote anachoona kitamsaidia hukfwata, nihivyo mkuu
 
hongera ila hujasema unataka kwenda kuangalia fursa gani? kilimo? ufugaji au biashara tu ili tukupe majina ya wadau walio huko. Kama kilimo kuna jf group wanafanya project waweza mtafuta Malila, mengine kwakweli utapata ukifika

Mama joe nakutafuta kuna ushauri kuhusu ufugaji natafuta
 
Back
Top Bottom