The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,170
Kichwa panzi huyu,hajui hata alichoandikaKodi simu hizi inachukuliwa na TPA badala ya TRA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa panzi huyu,hajui hata alichoandikaKodi simu hizi inachukuliwa na TPA badala ya TRA?
sio jukumu la Simba, ni la Vunjabei. Tatizo la watu wa humu wengi mnanakosa uelewa wa mambo hata ya kawaida tu, hata mikataba ya timu hauielewi lakini mnatoa comments na kuanzisha nyuzikama mzigo upo bandarini, why wasilipie wakauchukua?
Unamaanisha unapakuliwa na baba dinongo?Mimi ningekuwa ni Dada ningekuwa ni Kipenzi cha 'Kibaikolojia' cha Aliyekuzaa?
Mbet ni Wendawazimu hadi waingie Mkataba wa Tsh Bilioni 26.1 na Simba SC? Majuha endeleeni Kudanganywa huku wenye Akili tukiwa tunawatizama tu.Bilioni 26 hewa😂 hazitoshi kulipia jezi?
😂Tuhamie Yanga kama Manara mkuu.Mbet ni Wendawazimu hadi waingie Mkataba wa Tsh Bilioni 26.1 na Simba SC? Majuha endeleeni Kudanganywa huku wenye Akili tukiwa tunawatizama tu.
Acha Bange / Bangi sawa? Sitoweza!!😂Tuhamie Yanga kama Manara mkuu.
🙄Kwahiyo Manara anavuta sigara kubwa?Acha Bange / Bangi sawa? Siwezi.
Sasa utafanywaje popoma wakati kwa asili makolo wote mbumbumbu?? Yaani hupendi kufanywa mbumhumbu wakati wewe mwenyewe mbumbumbu wa kuzaliwa, pole sanaYote ninayoyasema katika NIMEAMUA KUKISANUA zangu za Leo ni kweli 100% na wawe Wapole ru kwani Wakinichefua zaidi nitasema ya ndani zaidi ambayo wengine hata muda huu wanaweza Kukamatwa na TAKUKURU ( PCCB )
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama KUDANGANYWA na kufanywa Popoma ( Mpumbavu ) na Watu ambao ulikuwa UNAWAHESHIMU japo unajua HAWANA AKILI kama hawa ninaowatolea Uvivu leo.
Kolo unitedMzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.
Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.
Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.
Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Ila wewe jamaa [emoji23][emoji23] kidali po nmekumbuka tangwa pepetaMzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.
Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.
Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.
Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Kwa hiyo zinapigwa pass muda huu?? Mamaeeeh hadi mmalize mikono itakuwa kama wagonjwaJezi mpya za Simba SC zimekwamishwa kwasababu ya nembo ya mdhamini, jezi zilizotengenezwa mwanzo zilikuwa na mdhamini aliyepita, hivyo alivyokuja M - bet imebidi yafanyike mabadiliko, huu ndio ukweli halisi.
Huu ni uwongo wa Bei rahisi...Simba hawakujua mdhamini wao mpya!?Jezi mpya za Simba SC zimekwamishwa kwasababu ya nembo ya mdhamini, jezi zilizotengenezwa mwanzo zilikuwa na mdhamini aliyepita, hivyo alivyokuja M - bet imebidi yafanyike mabadiliko, huu ndio ukweli halisi.
Mkataba wa sportpesa umeisha katambo sana kabla ligi haija isha Barbra alidhibitisha hilo na ilikua inafahamika kua hautoongezwa labda kama kuna issue nyingine ila sio mdhaminiJezi mpya za Simba SC zimekwamishwa kwasababu ya nembo ya mdhamini, jezi zilizotengenezwa mwanzo zilikuwa na mdhamini aliyepita, hivyo alivyokuja M - bet imebidi yafanyike mabadiliko, huu ndio ukweli halisi.
Mimi sijaja kuchangia chochote kinachohusu mada maana sitabadili chochote kuhusu swala la jeziSatoh Hirosh maliza kuandika utetezi wako haraka😂😂😂😂
Vunja bei ndio kit supplier wa simba zile bil 26.1 hazihusiani nae kabisaSi mchukue hela katika zile 26b ili mlipe kodi au za mchongo?
Ninampakua aliyekutapika Leba Wadi.
Hakuna mwanaume mwenye umbea na domo domo kama wewe. Yaani kama siyo KE basi utakuwa shoga wewe.Ninampakua aliyekutapika Leba Wadi.