Nimeamua Kukisanua: Hii ndiyo sababu ya Jezi za Simba SC kutozinduliwa hadi leo

Nimeamua Kukisanua: Hii ndiyo sababu ya Jezi za Simba SC kutozinduliwa hadi leo

kama mzigo upo bandarini, why wasilipie wakauchukua?
sio jukumu la Simba, ni la Vunjabei. Tatizo la watu wa humu wengi mnanakosa uelewa wa mambo hata ya kawaida tu, hata mikataba ya timu hauielewi lakini mnatoa comments na kuanzisha nyuzi
 
Yote ninayoyasema katika NIMEAMUA KUKISANUA zangu za Leo ni kweli 100% na wawe Wapole ru kwani Wakinichefua zaidi nitasema ya ndani zaidi ambayo wengine hata muda huu wanaweza Kukamatwa na TAKUKURU ( PCCB )

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama KUDANGANYWA na kufanywa Popoma ( Mpumbavu ) na Watu ambao ulikuwa UNAWAHESHIMU japo unajua HAWANA AKILI kama hawa ninaowatolea Uvivu leo.
Sasa utafanywaje popoma wakati kwa asili makolo wote mbumbumbu?? Yaani hupendi kufanywa mbumhumbu wakati wewe mwenyewe mbumbumbu wa kuzaliwa, pole sana

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.

Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.

Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.

Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Kolo united
 
Mzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.

Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.

Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.

Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Ila wewe jamaa [emoji23][emoji23] kidali po nmekumbuka tangwa pepeta
 
Jezi mpya za Simba SC zimekwamishwa kwasababu ya nembo ya mdhamini, jezi zilizotengenezwa mwanzo zilikuwa na mdhamini aliyepita, hivyo alivyokuja M - bet imebidi yafanyike mabadiliko, huu ndio ukweli halisi.
Kwa hiyo zinapigwa pass muda huu?? Mamaeeeh hadi mmalize mikono itakuwa kama wagonjwa

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Jezi mpya za Simba SC zimekwamishwa kwasababu ya nembo ya mdhamini, jezi zilizotengenezwa mwanzo zilikuwa na mdhamini aliyepita, hivyo alivyokuja M - bet imebidi yafanyike mabadiliko, huu ndio ukweli halisi.
Huu ni uwongo wa Bei rahisi...Simba hawakujua mdhamini wao mpya!?
 
Jezi mpya za Simba SC zimekwamishwa kwasababu ya nembo ya mdhamini, jezi zilizotengenezwa mwanzo zilikuwa na mdhamini aliyepita, hivyo alivyokuja M - bet imebidi yafanyike mabadiliko, huu ndio ukweli halisi.
Mkataba wa sportpesa umeisha katambo sana kabla ligi haija isha Barbra alidhibitisha hilo na ilikua inafahamika kua hautoongezwa labda kama kuna issue nyingine ila sio mdhamini
 
tunasubir ila mkifeli kuzitoa mtakuwa mmewatesa makolo
 
Mzigo ukifika Bandarini Kuna
1. gharama za bandari (port charges)
2.Ushuru (Tax)

ushuru NI mamlaka ya TRA ndiyo inakusanya hiyo Kodi hapa mamlaka ya bandari haihusiki hata kidogo hapa sasa najiuliza boss wa Bandari anawezaje kurelease mzigo bila kulipiwa Kodi? Ambayo inakusanywa na TRA?

Ukishalipia Kodi, unalipia na gharama za bandari pamoja na za shipping line unatoa mzigo wako.

Ila mikia poleni Sana, kila kitu mnaendesha Kwa michongo.
 
Satoh Hirosh maliza kuandika utetezi wako haraka😂😂😂😂
Mimi sijaja kuchangia chochote kinachohusu mada maana sitabadili chochote kuhusu swala la jezi

Huyu jamaa anashindwa kuelewa kwamba jf inafatiliwa na watu kibao.Hawezi kujenga Hoja bila matusi? Tena matusi mazito

Unapataje ujasiri wa kumwambia mtu "mamaako alipokutapika leba"????? "Nazijua Kona zote za * wa mamaako!!"

Amezidi asee.Huu ni zaidi ya udhalilishaji
 
Si mchukue hela katika zile 26b ili mlipe kodi au za mchongo?
Vunja bei ndio kit supplier wa simba zile bil 26.1 hazihusiani nae kabisa
Alishakula mkataba wake sisi tunachotaka ni jezi hayo ya kulipia ushuru ni juu yakena sio simba
 
Back
Top Bottom