Nimeamua Kukopa Bank

Nimeamua Kukopa Bank

Sikishauri
Sikushauri kuweka stock ya mahindi, bei yake haitabiriki bora mpunga au maharage.
Sehemu nitakayoweka stock kila mwaka ikifika Mwezi wa 12 gunia hufika 70
 
kama umekopa bank marejesho yanatoka kwenye salary tu fresh hata ukitumbukiza hizo 9m zote kwenye nyumba mm sina hofu kwa maana rejesho halitegemei mzunguko wa huo mkopo cha msingi usiwe na tamaa ya ujenzi ukiendekeza unaeza lala njaa maana hakuna muda nyumba ikamalizika ujenzi kila muda inakuhitaji hela tu hata kama finishing tayari isipokuwa kama lengo ni uweze kulala na mambo mengine madogo ishia hapo maliza rejesho fanya mengine m6 ni ndogo sana kwenye finishing hata kama vijijini jenga taratibu tu usiwe na haraka kama biashara ya mazao inalipa na una uhakika nayo nashauri uongeze hela hata m5 afu nyumba utaongezea mdogo mdogo
 
Nafanya kazi sekta binafsi kwa miaka mitano sasa.
Nimejitahidi kadiri ya uwezo wangu kwani kwa miaka hiyo nimeweza kujikamua na kujenga nyumbani(finishing bado) kijijini kwetu si mnajua life tuliokulia maisha ya kuunga unga? (Maisha ya home yalikua mabaya kupindukia,hadi namaliza chuo,njaa ilikua inachakaza nyumbani hadi inatishia kutoa uhai)
Pia kwa miaka mitano hii nimeoa na kujiunga na Msc degree na chuo flani hivi kikongwe hapa nchini,nimenunua ka plot ka kuanzia maisha na kusomba materials

Sasa kwa muda huu nimejikuta mambo yanakua mengi halafu na kipato hakitoshi japo kwa mwezi na take home ni M na kitu hivi.
Nimeona isiwe shida,nimeenda bank kukopa ili nijenge na kununua mahindi ya stock ili badae niuze kuanzia mwezi wa 11 hadi 3 hivi najua bei itakua imepanda kidogo

Sasa hapa nina wasiwasi na hii hela km itamaliza ujenzi,site nilileta material almost 98% (yaani tofari,mawe,mchanga na kokoto).Hela niliyoomba ni 9M nakata 2M ziingie kununua nafaka niweke stock, 1M iingie matumizi ya kawaida (msishangae serikali yetu matumizi ya kawaida ni zaidi ya nusu ya bajeti) halafu 6M zipige ujenzi je zitatosha?
Hapa nasali na kuomba angalau hii hela itoshe

Swala.la.hela kutosha hayo ni mahesabu binafsi, ila inaoenaka.umejipanga, we kopa.... hauna material asilimia 98% una material asilimia 98 ya kufikisha nyumba kwenye lenta na hapo ndo nyumba inaanza kwenyw gharama
 
Back
Top Bottom