Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Mkuu me ninashamba maeneo ya Vigwaza kati ya ruvu na Chalinze, ni kama km 15 toka Morogoro road. Hakuna mto karibu. Ila nataka kulima ufuta only kwa kuzitaimu mvua za za mwanzoni. Kwa ujuzi wako hapo inaweza ikatoboa?

Ndio mkuu itatoboa mifuko yako yote ya suruali
 
Mkuu me ninashamba maeneo ya Vigwaza kati ya ruvu na Chalinze, ni kama km 15 toka Morogoro road. Hakuna mto karibu. Ila nataka kulima ufuta only kwa kuzitaimu mvua za za mwanzoni. Kwa ujuzi wako hapo inaweza ikatoboa?
Although sijafahamu accurately ufuta unahitaji kiasi gani cha mvua, ila kwa kiasi kikubwa mvua za mkoa wa Pwani sio reliable. Hivyo jua hata kama utainvest you are investing at a greater risk.
 
Although sijafahamu accurately ufuta unahitaji kiasi gani cha mvua, ila kwa kiasi kikubwa mvua za mkoa wa Pwani sio reliable. Hivyo jua hata kama utainvest you are investing at a greater risk.

Asante mkuu kwa angalizo lako. Nitafanya investigation zaidi ili niweze kujua zaidi.
Ni maeneo gani hapa nchini yanakubali ufuta??
 
Although sijafahamu accurately ufuta unahitaji kiasi gani cha mvua, ila kwa kiasi kikubwa mvua za mkoa wa Pwani sio reliable. Hivyo jua hata kama utainvest you are investing at a greater risk.

Ufuta hauhitaji MVUA nyingi chakufanya! Achukue MBEGU ya muda mfupi then apande MVUA za MACKA zinapoanza Ili zinapokata ufuta unakuwa umeshakomaa!
 
Although sijafahamu accurately ufuta unahitaji kiasi gani cha mvua, ila kwa kiasi kikubwa mvua za mkoa wa Pwani sio reliable. Hivyo jua hata kama utainvest you are investing at a greater risk.

Sa we hutaki Au hupendi kuFace risk, Kuna kitu Kweli ambacho Hakuna risk, navyojua Hata kutoka home kwenda kazini ni risk, utagonga/utagongwa njiani Na magari bodaboda nk
 
JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa
mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10
years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara
wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha
kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza
kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji,
nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja
na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa
na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale
Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project
up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata
gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia
average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m
by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa
miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na
nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe.
by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole
wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month -
think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata
shambani
- huu ni wosia.

mkuu naomba unisaidie, nafanyaje japo na mm nimiliki hata eka 20?
 
JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.

Ni wazo zuri ila running cost kwenye hekari 50 kua 5m haiwekani,na kama unafikiri inawezekana hem toa mchanganuo.Kulima,mbegu,kupanda,palizi,uvunani..........
 
JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.

Umefikia wapi mkuu
 
Sa we hutaki Au hupendi kuFace risk, Kuna kitu Kweli ambacho Hakuna risk, navyojua Hata kutoka home kwenda kazini ni risk, utagonga/utagongwa njiani Na magari bodaboda nk
You need to face risks ila ninachoongelea hapa ni calculated risks usiingize tu hela eneo ambalo unajua kabisa halitolipa kwa vile tu wewe ni mfanyabiashara hivyo hutakiwi kuogopa risks.

Risks in business ni inevitable ila nadhan umakini katika ni muhimu zaidi kabla ya kuinvest. In other words I just argue he/she should be cautious!
 
Wakubwa maswali ya Kanyagio hayakupewa majibu. Hata hivyo, wakati nilipotembelea nane nane mwaka jana, nilijifunza kuwa Tanseed International wana mbegu ya mahindi inaitwa TAN H600 ambayo wali"showcase" kuwa inaweza kutoa magunia zaidi ya 20 kwa hekari. Kwa bahati mbaya sana nimepoteza vipeperushi ambavyo jamaa walinipa.

Niseme ukweli, ufanyaji biashara wa Tanzania bado ni wa shida kwa sababu nimejaribu kuwatafuta kwenye internet nikakuta namba zao ambazo hazipokelewi.

Kama kuna mwenye kujua branch/wakala wa tanseed hapa Dar naomba anijuze nimtafute maana nahitaji mbegu za mahindi kwa ajili ya kupanda maana tayari nimeshatayarishashamba langu linasubiri tone la kwanza la mvua nipande.

Msaada - kina Malila, Kanyagio na wengineo kama mmeshapata kujua walipo TANSEED tujuze pleaaaase!
 
Topic Re-Loaded

Wadau,
Nahitaji kujua majira mbalimbali ya kilimo kwa mazao mbalimbali.

Mfano Mazao gani hua yanapandwa January,
Yapi yanapanwa February,
" " March,
" " April,
" " May,
.
.
.
.
.
.
" " December.

Msaada please!!
 
Nafikiri unapaswa kutaja eneo unalotaka kulima, kisha utaitegemea mvua au kumwagilia? Wadau watakupa uzoefu hapa lakini kwa zao moja moja kuna uzi nyingi hapa zinaongelea mazao mbalimbali waweza kuona msimu na maeneo yanakostawi.
Topic Re-Loaded

Wadau,
Nahitaji kujua majira mbalimbali ya kilimo kwa mazao mbalimbali.

Mfano Mazao gani hua yanapandwa January,
Yapi yanapanwa February,
" " March,
" " April,
" " May,
.
.
.
.
.
.
" " December.

Msaada please!!
 
Wadau habari!kwa wale wajasili wa kutafuta mali wenzangu,wenye idea na kilimo cha biashara ya mahindi mabichi kipindi cha kiangazi naomba tusaidiane mawazo!je ni kweli kilimo na biashara ya mahindi mabichi kipindi cha kiangazi ina tija kwa mkulima kuliko kilimo cha masika?ni changamoto zipi zitakazomkabili mkulima wa mahindi ya kiangazi!naomba kuwasilisha wadau
 
Na mimi ningependa kujua.

Kiangazi hiki unachosema ni wakati gani?
 
Kilimo cha kiangazi kinaweza kisikulipe au kikakulipa sana. Unahitaji ujuzi flani. Lakini kama unataka upate faida, unahitaji yafuatayo
1. Eneo utakalolima lisiwe chini ya ekari tano, ili uweze kuwa na mimea ya mahindi 120,000 kwa uchache. kila hindi ukiliuza kwa sh 150, utakuwa na tsh 18,000,000. Hii ni bei ya shambani

2. Maji.. ili uweze kuotesha na kustawisha mahindi 120,000, utahitaji maji ya kina kisichopungua mm 600, maana yake utahitaji takriban lita za ujazo 15,000,000. Ikiwa kila lita utaipata kwa cent 25 hadi 30, utatumia kati ya 4.5 - 7.5m.

3. Mbolea - hapa utahitajimbolea aina ya DAP au CAN mifuko kama minne, mfuko mmoja na nusu utaweka siku 14 baada ya kupanda na 2.5 iliyosalia utaweka siku 45 baada ya kupanda.

4. Ulinzi na udhibiti wa wadudu na visumbufu vya mazao... andaa 200,000/-

5. Mengineyo- hapa nimedhania ardhi ni yako na si ya kukodi. Sijaweka gharama za kuandaa shamba kwani itategemea njia rahisi iliyopo eneo lako kati ya tractor au vibarua wa kawaida..
kuhusu eneo kuwa kubwa, ni kwamba ekari tano ndio utapata faida, ukilima pungufu ya hapo utapata hasara. Haitalipa kwa sababu gharama zitakuwa juu. kingine cha muhimu ni kuwa soko la uhakika linatakiwa kwani kuanzia siku 60 baada ya kupandwa, mahindi kwa ajili ya kuchoma yanakuwa tayari na siku ya 75, siku 15 baadaye, mahindi huanza kuwa magumu na yanakoma kuwa ya kuchoma na kuwa ya ugali. angalizo hapa ni kuwa lazima uwe na soko la haraka kuweza kumaliza bidhaa ndani ya muda huu mfupi.

aina ya mbegu ya mahindi utakayotumia itategemea mahali ulipo, ikiwa ni ukanda wa joto au baridi. Aina ya STUKA au TAN256 zawezafaa. kama vipi uni pm upate ushauri kuhusu hili

Mimi ni public consultant na nimebobea katka kilimo hiki cha mahindi. usisite kuuliza swali lolote uwapo na tatizo.
 
Kilimo cha kiangazi kinaweza kisikulipe au kikakulipa sana. Unahitaji ujuzi flani. Lakini kama unataka upate faida, unahitaji yafuatayo
1. Eneo utakalolima lisiwe chini ya ekari tano, ili uweze kuwa na mimea ya mahindi 120,000 kwa uchache. kila hindi ukiliuza kwa sh 150, utakuwa na tsh 18,000,000. Hii ni bei ya shambani

2. Maji.. ili uweze kuotesha na kustawisha mahindi 120,000, utahitaji maji ya kina kisichopungua mm 600, maana yake utahitaji takriban lita za ujazo 15,000,000. Ikiwa kila lita utaipata kwa cent 25 hadi 30, utatumia kati ya 4.5 - 7.5m.

3. Mbolea - hapa utahitajimbolea aina ya DAP au CAN mifuko kama minne, mfuko mmoja na nusu utaweka siku 14 baada ya kupanda na 2.5 iliyosalia utaweka siku 45 baada ya kupanda.

4. Ulinzi na udhibiti wa wadudu na visumbufu vya mazao... andaa 200,000/-

5. Mengineyo- hapa nimedhania ardhi ni yako na si ya kukodi. Sijaweka gharama za kuandaa shamba kwani itategemea njia rahisi iliyopo eneo lako kati ya tractor au vibarua wa kawaida..
kuhusu eneo kuwa kubwa, ni kwamba ekari tano ndio utapata faida, ukilima pungufu ya hapo utapata hasara. Haitalipa kwa sababu gharama zitakuwa juu. kingine cha muhimu ni kuwa soko la uhakika linatakiwa kwani kuanzia siku 60 baada ya kupandwa, mahindi kwa ajili ya kuchoma yanakuwa tayari na siku ya 75, siku 15 baadaye, mahindi huanza kuwa magumu na yanakoma kuwa ya kuchoma na kuwa ya ugali. angalizo hapa ni kuwa lazima uwe na soko la haraka kuweza kumaliza bidhaa ndani ya muda huu mfupi.

aina ya mbegu ya mahindi utakayotumia itategemea mahali ulipo, ikiwa ni ukanda wa joto au baridi. Aina ya STUKA au TAN256 zawezafaa. kama vipi uni pm upate ushauri kuhusu hili

Mimi ni public consultant na nimebobea katka kilimo hiki cha mahindi. usisite kuuliza swali lolote uwapo na tatizo.

Ahsante sana kwa ushauri wako mkuu,ila honestly mtaji wa kulia heka 5 sina,nataka nilime heka mbili tu,ila sitasita kukutafuta ili kupata mwanga zaidi
 
Back
Top Bottom