Nimeamua kumpotezea rafiki yangu

Nimeamua kumpotezea rafiki yangu

Mmi nikitaka kuachwa na demu namuomba ndogo, lazima aje juu kama ngiri aliyejeruhiwa, alafu mchezo ndiyo umeisha.

Nyinyi mko penzini
Dah siku utayakanyaga hutaamini[emoji16][emoji16],,,niliwahi kuyakanyaga nikala nduki balaa kibao kikageuka kua siwezi date na anayetoa ndogo wakati niliomba ili nipigwe chini nikaishia kuambulia mitusi ya maana.
 
Hujakosea [emoji3][emoji3]

Mihemko yako ndo ilifamya uone kama anakutaka… umejiskia vibaya kuona ye hayuko mawazo yako yalipo

Ukajipa moyo umuache as if mlikua kwenye mahusiano.

Mwenzako hana shida we ndo unatapatapa sasa

In short akirudi atakukula na urafiki hautaendelea utaumia kuliko sasa

Ila polee[emoji6]
Imeishaaaaaa!!!!
 
Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara Pika nije kula na kudekezana.



Wakuu je ninekosea kumpotezea huyu rafiki yangu.
Hutaki a mute kimya?
 
Ningefanyaje mkuu na wakati jamaa Kama ananipenda huku anajifanya madam madam, namwambia nimemiss yy anasema Asante. We unaona iko sawa kweli ndugu yangu
Kwa wanaume kuna watu huwa ni marufuku kuanzisha nao mahusiano ya kingono. Mfano binafsi ukiwa umeolewa na ninamfahamu mumeo siwezi kamwe kukutia. Mbili tukiwa tunafanya kazi eneo moja au jengo moja au jirani yangu kuliwa sahau, mke wa rafiki au mtoto never, sijui house girl mpaka arudi masihi.
Binafsi napenda kufurahia maisha naweza kukutunuku ukaenjoy upendavyo... mpaka ukahisi labda ipo siku ntakufyatua kitufe sahau... ukijiliza ntakupetpet vijisent utapata ila ukiingiza ngono au kijifanya unanimiliki tu ndio mwisho wetu. So mtoa mada ujue viumbe wa hivyo tupo. Na hatushoboki wallah so kama anakuheshimu kimadam madam heshimu huo mpaka. Ukileta dharua unaliwa mara moja tu na hutakaa uguswe tena.
 
Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara Pika nije kula na kudekezana.

Nikaanza kuona hapa nikileta ujinga tutaingia kwenye mahusiano na mtu mwenyewe jamaa anaonekana ana mambo mengi basi Leo tukachuniana tangu asubuh, jion hii nikamwambia I miss you.. akaajibu thanx madam[emoji849] eeh pozi likaniisha nikasema any way acha nimchane, nikamwambia naomba urafiki wetu uishie na maneno mazuri mazuri ya kumtia moyo nikajaza paragraph mwisho nikamwambia ntakumiss bye.

Jibu alilonipa Sasa Good luck [emoji3]

Mimi kuona hivyo nikamtia block na kufuta namba zake juu.

Sasa hivi nimekaa hapa tayar nshamiss najua nayeye pia atakua kanimiss lakini najua ujeuri wa wanaume anaweza akamute kimya.

Wakuu je ninekosea kumpotezea huyu rafiki yangu.


1. Angalia wanao.
2. Tafakari aibu kwa wazazi wako.
3. Angalia uthamani wa ndoa yako.
4. Fuatilia story za wasaliti (ujuta)

Halafu fanya maamuzi, ashakulegeza huyo na ameshalala na wewe, anajua hauna ujanja tena.

Sijui mtu ana samehe vipi usaliti, imagine huyu ndo mke wako anaelezea mwanaume hivi, mpaka kumpikia?
 
Ahahahah
Umeona mkuu.Qanawakenwana mindset flan selfish sana.
Yan mkitiana wao ndio wanaona kama wametumika wakat nyote mmetumiana.
No wonder wanataka walipwe pia wakat ilibid kama vip mlipane!

Yan wao wanaona kama ndio wanatoa huduma wakat na wewe unashiriki kuhudumu😂😂😂 hawa viumbe shida!!!
Shida kweli kweli ah ndio maana wana wenye hela wanawagonga na kusepa. Always trying to play victim when it comes to sex
 
1. Angalia wanao.
2. Tafakari aibu kwa wazazi wako.
3. Angalia uthamani wa ndoa yako.
4. Fuatilia story za wasaliti (ujuta)

Halafu fanya maamuzi, ashakulegeza huyo na ameshalala na wewe, anajua hauna ujanja tena.

Sijui mtu ana samehe vipi usaliti, imagine huyu ndo mke wako anaelezea mwanaume hivi, mpaka kumpikia?
Ah wee bwana suala la mke kutombwer wala lisikuoe presha. Wnawake wenye tunaoa breki pumbu alafu unategemea kuwa kwenye ndoa hatagawa mbususu
 
Back
Top Bottom