feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Kwahiyo upo tayari kumtunuku Pochi unyoya?Ningefanyaje mkuu na wakati jamaa Kama ananipenda huku anajifanya madam madam, namwambia nimemiss yy anasema Asante. We unaona iko sawa kweli ndugu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo upo tayari kumtunuku Pochi unyoya?Ningefanyaje mkuu na wakati jamaa Kama ananipenda huku anajifanya madam madam, namwambia nimemiss yy anasema Asante. We unaona iko sawa kweli ndugu yangu
Dah siku utayakanyaga hutaamini[emoji16][emoji16],,,niliwahi kuyakanyaga nikala nduki balaa kibao kikageuka kua siwezi date na anayetoa ndogo wakati niliomba ili nipigwe chini nikaishia kuambulia mitusi ya maana.Mmi nikitaka kuachwa na demu namuomba ndogo, lazima aje juu kama ngiri aliyejeruhiwa, alafu mchezo ndiyo umeisha.
Nyinyi mko penzini
Imeishaaaaaa!!!!Hujakosea [emoji3][emoji3]
Mihemko yako ndo ilifamya uone kama anakutaka… umejiskia vibaya kuona ye hayuko mawazo yako yalipo
Ukajipa moyo umuache as if mlikua kwenye mahusiano.
Mwenzako hana shida we ndo unatapatapa sasa
In short akirudi atakukula na urafiki hautaendelea utaumia kuliko sasa
Ila polee[emoji6]
Hutaki a mute kimya?Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara Pika nije kula na kudekezana.
Wakuu je ninekosea kumpotezea huyu rafiki yangu.
Kwa wanaume kuna watu huwa ni marufuku kuanzisha nao mahusiano ya kingono. Mfano binafsi ukiwa umeolewa na ninamfahamu mumeo siwezi kamwe kukutia. Mbili tukiwa tunafanya kazi eneo moja au jengo moja au jirani yangu kuliwa sahau, mke wa rafiki au mtoto never, sijui house girl mpaka arudi masihi.Ningefanyaje mkuu na wakati jamaa Kama ananipenda huku anajifanya madam madam, namwambia nimemiss yy anasema Asante. We unaona iko sawa kweli ndugu yangu
No.2 ~ 60%Kiufupi mpaka hapa moja kati ya mawili
1.Ameshakutafuna
2.Upo tayari kutafunwa.
Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara Pika nije kula na kudekezana.
Nikaanza kuona hapa nikileta ujinga tutaingia kwenye mahusiano na mtu mwenyewe jamaa anaonekana ana mambo mengi basi Leo tukachuniana tangu asubuh, jion hii nikamwambia I miss you.. akaajibu thanx madam[emoji849] eeh pozi likaniisha nikasema any way acha nimchane, nikamwambia naomba urafiki wetu uishie na maneno mazuri mazuri ya kumtia moyo nikajaza paragraph mwisho nikamwambia ntakumiss bye.
Jibu alilonipa Sasa Good luck [emoji3]
Mimi kuona hivyo nikamtia block na kufuta namba zake juu.
Sasa hivi nimekaa hapa tayar nshamiss najua nayeye pia atakua kanimiss lakini najua ujeuri wa wanaume anaweza akamute kimya.
Wakuu je ninekosea kumpotezea huyu rafiki yangu.
Shida kweli kweli ah ndio maana wana wenye hela wanawagonga na kusepa. Always trying to play victim when it comes to sexAhahahah
Umeona mkuu.Qanawakenwana mindset flan selfish sana.
Yan mkitiana wao ndio wanaona kama wametumika wakat nyote mmetumiana.
No wonder wanataka walipwe pia wakat ilibid kama vip mlipane!
Yan wao wanaona kama ndio wanatoa huduma wakat na wewe unashiriki kuhudumu😂😂😂 hawa viumbe shida!!!
Ah wee bwana suala la mke kutombwer wala lisikuoe presha. Wnawake wenye tunaoa breki pumbu alafu unategemea kuwa kwenye ndoa hatagawa mbususu1. Angalia wanao.
2. Tafakari aibu kwa wazazi wako.
3. Angalia uthamani wa ndoa yako.
4. Fuatilia story za wasaliti (ujuta)
Halafu fanya maamuzi, ashakulegeza huyo na ameshalala na wewe, anajua hauna ujanja tena.
Sijui mtu ana samehe vipi usaliti, imagine huyu ndo mke wako anaelezea mwanaume hivi, mpaka kumpikia?
KAshaliwa huyo anawapotezea tu muda mjinga huyuSoon unaliwa na utateseka kwa penzi lake! Ndoa yako itaenda kuwa na migogoro isiyoisha.
Ukumsoma vizuri. A man that has options kamwe hawezi kubembeleza. Sii anajua mbususu wakatii wowote yeye anapata tuuEeh mkuu nilitaka kubembelezwa[emoji3][emoji3]
Sasa mbususu nayo ni kitu ya kumyima mwanaume....ebu wacheni ufallerSoon unaliwa na utateseka kwa penzi lake! Ndoa yako itaenda kuwa na migogoro isiyoisha.