Nimeamua kumpotezea rafiki yangu

Intead of going directly kuomba mbususu try dat alternative way..95% utawala bila hata ya kuomba mzigo.Yaani wanakutunuku tu kimasihara
Mhm hapana. No nation has benefited from prolonged warfare.
Am not seeking marriage, i just wana burst a nut thats all.
 
Reactions: EEX
Tupo tunaokaza 🤣
Na tunadumisha urafiki... maana mwanzo wa kupeana vikojoleo ndio mwanzo wa kuharibu urafiki.
 
Tena yeye ndio anayatafuta.Ameliwa ki side chick halaf ana test mitambo ya string -attchment anakuta ile ilikua just kumegana tu nothing of interest..Anapagawaaa analeta uzi hapa

Ndoa inaenda kumshinda na kwa mchepuko kapotezewa, sijui itakuwaje?!!! [emoji2222][emoji2222]
 
Ungesubili alete tamaa ndo ufanye ulivyofanya, kwakuwa umefanya ulivyofanya wakati jamaa hajaleta tamaa nahitimisha wewe ndo ulikuwa unataka.
 
ladiz endi jentomeniz! Kuna kiumbe kimesha folu ini lavu. Haya ndio yale mapenzi kama ya sekondari.

Timu ya wahuni tunamuunga mwamba mkono, anajua kubalansi shobo.

Neksti taimu tutamuita aje atoe semina elekezi ya jinsi ya kubalansi shobo katika kikao kijacho cha wanaume.
 
Ukitaka mwanamke akuchukieee Akuoneshe dalili zote anakutakaa alafu wewe USIMTONGOZEEE aisee huwa wanapagawaa sanaa..! Sasa wew dada mhaho umekushikaa kuona jamaa hana time ya Utamu wakooo sema polee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…