Kisa chako kinanikumbusha namna nilivyompa taabu dada mmoja hivi.Ilikuwa hivi;
Nilikutana naye na tukajenga mazoea kiduchu kisha nikamtoa out tukapiga pombe na nyama na kuhama ukumbi siku nzima alivyolewa na ile kushikana shikana nikagundua yuko period.
Nikamchukua na bolt mpka kwake na kumlaza na kufunga mlango kisha ufunguo nikamtupia ndani na mimi nikageuka na bolt mpka kwangu.
Asubuhi akanicall na asante za hapa na pale na mimi nikamwambia kuwa umeniacha na nyege ukikaa vzuri naomba Papa hiyo niichakate.
Akaanza zile oooh ntakupa siku 1, sijui subiri usiwe na haraka, na ukizingatia ni mdada wa nguvu jeupe zuri na mikalio ya kufa mtu na zile kutongozwa kila apitapo sijui zilimpa kiburi akajiona prngine kila mwanaume atabaki anamlilia kila siku.
Nilivyoona mzigo hataki kutoa anarukaruka mimi nikapiga kimya,Futa namba na maisha yanaendeleaa,Yule dada ilikuumiza sana kwamba y mwamba nimempotezea ghafla na sina time naye,Siku 1 akanitumia sms ndeefu kuwa sijui najiona keki sijui kwanini nimpotezeee wakati ingetakiwa nisubiri siku yyte angenipa TUNDa.
Sikujibu ila baada ya siku 2 nikampigia kutumia namba ile aliyonitext na kumwambia jioni tuonane sehemu x,Akaja pombe na nyama akalewa kushikana shikana nikaona hayuko period, Nikampeleka lodge nikamchakata, asubuhi game ikarudiwa.
BAADA YA HAPO NILIMBLOCK MAZIMA NA SIKUTAKA MAWASILIANO KABISAAAAAA.
ANANIONA MHUNI KWAMBA WANAUME WENGINE WANAMLILIA NA KUMHONGA PESA NDEFU HALAFU MIMI SINA TIME NAYE.
WANAWAKE JIFUNZENI KUWA KUNA WANAUME HAPA DUNIANI BADO WANA MISIMAMO YA KIUME JAPO WACHACHE KAMA HUYO MWAMBA HAPO JUU
Kisa juu ya kisa namie ngoja niongezee hapa changu.
Huyu bidada tulifahamiana 2021 kwenye magroup haya ya ku socialize kama vijana.
Tukawa tunawasiliana kama kawaida though tulikuwa wilaya tofauti lkn mkoa Mmoja.
Sikuwahi kumtongoza lkn kubebishana kama kawaida.
Mwaka jana kaja kitaani kwetu kama muajiriwa ofisi moja hivi, akanicheki na uzuri nilikuwa nipo around kwa wakati huo nilikuwa likizo ( mwezi wa 12, 2022), tukaonana story kadhaa, badae anavorudi kwake tukapitia gengeni chukua mazaga, tukasepa.
Nimefika kwake nikataka nitumie ubaharia na uzoefu wa humu kula kimasihara ikashindikana nikitumia advantage ya kuwa tushazoeana wayback, nikaaga nikasepa. Kesho asubuhi akaniomba msamaha kwa kunibania, nikaomba radhi pia ILA nikachomekea leo vpi sinije unipe sasa ,akajibu kaingia period akimaliza atanipa.
Likjzo ikaisha hajamaliza period, mie nikarudi kujitafuta. Ilitokea emergency home nikarudi, ilikuwa ni baada ya week kadhaa tangu niondoke, nikamwambia nimerudi story kadhaa nikamuomba gemu hakujibu sms zangu Hadi naondoka, hii ilikuwa ni attempt ya 2.
Attempt ya 3 nimefanya miez kadhaa iliopita nilirudi as usual kuchek mazingira ya homeland. Sikumwambia kama nimerudi, tukaja kuonana njian, salam za kinafiki kila mtu akala 50 zake. Acha asinambie oooh sorry kipindi kile umerudi nlikuwa bado niko period, kumbuka ni zaidi ya siku 20 zimepita hadi ile siku nimerudi bado alikuwa period, akaongeza afu unajua ndio mara yangu ya kwanza kwenda siku nyingi hivi, nikampa pole, nikamute.
Nilivoona kama ananikwepa nikaona nisiombe tendo ila niombe appointment akiwa anarudi home nimsindikize, imefika muda wa kuondoka kwenda home ,nikamchek akasema nisubir kuna mzigo anausibiria, nikasema ukiwa unaondoka naomba nicheki, HAKUNIJIBU ILE SMS hadi siku naondoka pale.
Nika write-off kwenye accn book zangu, nikampotezea, ikawa ni kuview status basi, mara moja moja anakomenti najibi kivivu nikiona analeta ukaribu ma kujichekesha namu ignore. Juzi kanicheki uko wapi??? Nika ignore hadi saivi, aende akapee coochie yake kwa alpha male