Nimeamua kumpotezea rafiki yangu

Nimeamua kumpotezea rafiki yangu

huwezi kuishi bila uongo.uongo ni mafanikio pia.
mfano unahitaji kazi kwenye kampun.watakapohitaji maelezo yako ya uaminisho.kuhusu mda gani upo ulaiani bila kazi na umewahi kujipa uzoefu kiasi gani.hapo ndo lugha inapangwa.
pia.hawa wanawake.na wao tayari wanahitaji ukweli mtupu.wakati huu.maisha yanaendeshwa na uongo %50.ikiwa wao wanwwake kwa sasa maisha yao yana ukweli %17 kati %100.
hivo hakuna kigeni kigeni ni kukutana na mtu alie na uhitaji na ukiwa na uhitaji na sio unatfta mwanamke utakaempenda.
maanake hata yeye asipopenda.ko gereza ndo hilo.
ko mi naoana bora yeye akupende %90.halafu wewe %75.
hapo ndio atakuvumilia.na uongo wako wote.
 
Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara pika nije kula na kudekezana.

Nikaanza kuona hapa nikileta ujinga tutaingia kwenye mahusiano, na mtu mwenyewe jamaa anaonekana ana mambo mengi. Basi leo tukachuniana tangu asubuhi, jioni hii nikamwambia I miss you, akaajibu thanx madam[emoji849].

Eeh pozi likaniishia nikasema any way acha nimchane, nikamwambia naomba urafiki wetu uishie na maneno mazuri mazuri ya kumtia moyo, nikajaza paragraph mwisho nikamwambia ntakumiss bye.

Jibu alilonipa sasa Good luck [emoji3]

Mimi kuona hivyo nikamtia block na kufuta namba zake juu.

Sasa hivi nimekaa hapa tayari nishamiss, najua na yeye pia atakua kanimiss lakini najua ujeuri wa wanaume anaweza akamute kimya.

Wakuu, Je nimekosea kumpotezea huyu rafiki yangu?
Umefanya jambo jema mno ukizingatia wewe ni mke wa mtu na mumeo yupo mbali nawe.

Najua kuwa upo na nyege debe zima mana mumeo yupo mbali, ungeendelea kujiweka karibu na huyo mwamba angekuchakata tu mbususu yako muda sio mrefu mana sisi wanaume ukitupa upenyo kidogo tu lazima tukutafune!

Ili kuondoa upweke na kutokummiss huyo jamaa, fanya mawasiliano na mumeo mara kwa mara.

Mungu akubariki sana kwa kujitambua!
 
Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara pika nije kula na kudekezana.

Nikaanza kuona hapa nikileta ujinga tutaingia kwenye mahusiano, na mtu mwenyewe jamaa anaonekana ana mambo mengi. Basi leo tukachuniana tangu asubuhi, jioni hii nikamwambia I miss you, akaajibu thanx madam[emoji849].

Eeh pozi likaniishia nikasema any way acha nimchane, nikamwambia naomba urafiki wetu uishie na maneno mazuri mazuri ya kumtia moyo, nikajaza paragraph mwisho nikamwambia ntakumiss bye.

Jibu alilonipa sasa Good luck [emoji3]

Mimi kuona hivyo nikamtia block na kufuta namba zake juu.

Sasa hivi nimekaa hapa tayari nishamiss, najua na yeye pia atakua kanimiss lakini najua ujeuri wa wanaume anaweza akamute kimya.

Wakuu, Je nimekosea kumpotezea huyu rafiki yangu?
Siku mtakayo kulana ndio mwisho wa urafiki wenu.
 
Ningefanyaje mkuu na wakati jamaa Kama ananipenda huku anajifanya madam madam, namwambia nimemiss yy anasema Asante. We unaona iko sawa kweli ndugu yangu
Ninyi nyote ni watu wa drama. Ila jamaa ni bora kuliko wewe. Na wewe ndiye loser.
 
Wanawake wa kibongo hampendi kuwekwa ktk friendzone?

Ila ni wanawake wachache tu ambao wanaweza kuudumisha urafiki bila ya kutoa mbususu ila 95% watatoa tu.

Yaani umchukue demu wa ofisini kirafiki tu halafu labda weekend umpeleke beach , m-spend the whole day drinking ,eating and having fun...mrudi home mcheki movies ,halafu uwe ile close kumjulia hali n.k halafu asikutunuku?
unajua hii inatokana na nini mkuu?!! 90% ya wanawake hawajalelewa katika misingi ya kudekezwa kitu ambacho wanawake wengi ni kama nature...
ndio mana mwanaume hata ungekua nani ila ukimdekeza tu mwanamke 90% umewin!!!
- Na kuna ile imejengeka kwenye jamii zetu za wanawake ,kwamba mwanaume kma hakuspoil basi hafai na wewe utaonekana Cheap kwake kisa hajawahi kukupa zawadi/hajawahi kukupa hela nyingi/au hajawahi kukupeleka Matembezi ya hapa na pale!


kama tungekua tunazaliwa tunakulia mazingira ambayo unapewa mhitaji yote unasoma/ukimaliza unapewa biashara/unavalishwa unapewa pocket money yani kwa kifupi kila kitu chako kiko undercontrol wanawake wengi wangeweza friendship za hivyo maan wasingeona uajabu au interest yoyote kisa umekua spoiled
Umasikini/nature ndio inapelekea sana kuwa hivyo
 
Nikiwapata marafiki wa hv ntanenepa enewey huyo msela ndo kazingua hata kujiongeza alishindwa ila kama ulisema ana mambo mengi bas sio mbaya sana au nawe ulitaka uende kwenye hayo mambo mengi madam as he said 😀😀
 
Nilichoelewa wewe ulimpenda mwamba ila yeye ndo alikuwa hayupo serious kama wewe....ukaamua kumkataa ili ujue kama anakupenda au la...kusema kweli jamaa anakupenda na hata saiv anakumiss ila akikukula mara moja tu jiaandae kuwa mtumwa wake.....yangu ni hayo tu
 
Tafuta kazi mama Vivian inaonyesha kabisa nyie hamko seriously kutafuta ela
 
Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara pika nije kula na kudekezana.

Nikaanza kuona hapa nikileta ujinga tutaingia kwenye mahusiano, na mtu mwenyewe jamaa anaonekana ana mambo mengi. Basi leo tukachuniana tangu asubuhi, jioni hii nikamwambia I miss you, akaajibu thanx madam[emoji849].

Eeh pozi likaniishia nikasema any way acha nimchane, nikamwambia naomba urafiki wetu uishie na maneno mazuri mazuri ya kumtia moyo, nikajaza paragraph mwisho nikamwambia ntakumiss bye.

Jibu alilonipa sasa Good luck [emoji3]

Mimi kuona hivyo nikamtia block na kufuta namba zake juu.

Sasa hivi nimekaa hapa tayari nishamiss, najua na yeye pia atakua kanimiss lakini najua ujeuri wa wanaume anaweza akamute kimya.

Wakuu, Je nimekosea kumpotezea huyu rafiki yangu?
Such an innocent soul, as is naive too 🤠
 
Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara pika nije kula na kudekezana.

Nikaanza kuona hapa nikileta ujinga tutaingia kwenye mahusiano, na mtu mwenyewe jamaa anaonekana ana mambo mengi. Basi leo tukachuniana tangu asubuhi, jioni hii nikamwambia I miss you, akaajibu thanx madam[emoji849].

Eeh pozi likaniishia nikasema any way acha nimchane, nikamwambia naomba urafiki wetu uishie na maneno mazuri mazuri ya kumtia moyo, nikajaza paragraph mwisho nikamwambia ntakumiss bye.

Jibu alilonipa sasa Good luck [emoji3]

Mimi kuona hivyo nikamtia block na kufuta namba zake juu.

Sasa hivi nimekaa hapa tayari nishamiss, najua na yeye pia atakua kanimiss lakini najua ujeuri wa wanaume anaweza akamute kimya.

Wakuu, Je nimekosea kumpotezea huyu rafiki yangu?
Pole sana
 
Back
Top Bottom