josephfelician
Member
- Jun 17, 2023
- 12
- 6
huwezi kuishi bila uongo.uongo ni mafanikio pia.
mfano unahitaji kazi kwenye kampun.watakapohitaji maelezo yako ya uaminisho.kuhusu mda gani upo ulaiani bila kazi na umewahi kujipa uzoefu kiasi gani.hapo ndo lugha inapangwa.
pia.hawa wanawake.na wao tayari wanahitaji ukweli mtupu.wakati huu.maisha yanaendeshwa na uongo %50.ikiwa wao wanwwake kwa sasa maisha yao yana ukweli %17 kati %100.
hivo hakuna kigeni kigeni ni kukutana na mtu alie na uhitaji na ukiwa na uhitaji na sio unatfta mwanamke utakaempenda.
maanake hata yeye asipopenda.ko gereza ndo hilo.
ko mi naoana bora yeye akupende %90.halafu wewe %75.
hapo ndio atakuvumilia.na uongo wako wote.
mfano unahitaji kazi kwenye kampun.watakapohitaji maelezo yako ya uaminisho.kuhusu mda gani upo ulaiani bila kazi na umewahi kujipa uzoefu kiasi gani.hapo ndo lugha inapangwa.
pia.hawa wanawake.na wao tayari wanahitaji ukweli mtupu.wakati huu.maisha yanaendeshwa na uongo %50.ikiwa wao wanwwake kwa sasa maisha yao yana ukweli %17 kati %100.
hivo hakuna kigeni kigeni ni kukutana na mtu alie na uhitaji na ukiwa na uhitaji na sio unatfta mwanamke utakaempenda.
maanake hata yeye asipopenda.ko gereza ndo hilo.
ko mi naoana bora yeye akupende %90.halafu wewe %75.
hapo ndio atakuvumilia.na uongo wako wote.