Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Weka vizuri hesabu zako. Gharama ya nauli kutoka Gongo la Mboto hadi Posta, inalinganaje na gharama ya kuweka mafuta gari la kukutoa Gongo la Mboto hadi Posta? Tufanye hutaki adha za daladala; Ukiwa pale Mnazi mmoja kuna usafiri wa kutosha wa watu binafsi (gari ndogo, bajaj au pikipiki) kuelekea Gongo la Mboto na nauli yake ni kati ya sh. 2000/= na 3000/=. Tuchukue maximum sh. 3,000/=,. Je, sh. 6,000/= kwenda na kurudi zitaweza kukidhi mahitaji ya mafuta katika gari yako?
ni bahati sana kupata usafiri wa mojakwa moja namna hiyo maeneo hayo ni aidha ugeueke na kidala au upande gari za ruti nyingine zikusogeze na kwahivyo ukitoka home na elfu10 huwezi rudi home hata na senti moja bali utarudi tu na njaaa kali sana na kiu ya haja 🐒

kama kwa mahesabu yako nauli ni elfu sita, hujala wala kunywa gharama za jumla kwa siku na mwenye IST mtatofautiana mi2aumia3🐒
 
Kwa gari izi za lita 1 kwa kilometa 10/12 izo lita 4 zinatoka wap

Lakin pia gar ina msaada zaidi na haina usumbufu km uwo usafir wa public

Kupanga ni kuchagua
 
Lecture wetu mwaka wa kwanza pale UDSM alituambia Kama mshahara wako ni chini ya 4M bhasi tusinunue gari.

Na Kama mshahara wako ni 4M-7M bhasi gari yako ni IST

Kama unalipwa 7M+ atleast unaweza nunua gari yoyote I sio idk CC2500


Nilimuelewa sana Yule mzee maana hata yeye hakua na gari wakati ule[emoji28]

Cha kushangazi vijana wengi akiwa na 2M kila mwisho wa mwezi tayari kashakopa kununua crown mwisho wake ndio huu kuona bei ya mafuta ni kubwa.

Siwasemi vibaya ila ukizigatia hiyo formulae hapo juu mafuta hayotokuja kua changamoto kwako.
Sio Prof Mahugija kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maana nae alisema hiki kitu class.
 
Shida ya Public transport sio bei peke yake ni na upatikanaji wake pia usumbufu wa kubanana na kupangwa kama mizigo plus joto kali kwny foleni.
Ukitoka umepiga perfume yote inaisha kwny daladala.
Ingekuwa haina huo usumbufu wengi wasinge komaa na bei ya mafuta.
 
kama kwa mahesabu yako nauli ni elfu sita, hujala wala kunywa gharama za jumla kwa siku na mwenye IST mtatofautiana mi2aumia3🐒
Mambo ya kula na kunywa yametoka wapi? Kwani alipoanzisha mada ya kulinganisha private na public transport, una maana akiwa na private transport alikuwa hali wala hanywi?
 
Mambo ya kula na kunywa yametoka wapi? Kwani alipoanzisha mada ya kulinganisha private na public transport, una maana akiwa na private transport alikuwa hali wala hanywi?
popote utokako mbagala, mpaka ukifika kituo cha mabasi mbagala rangi3 tayari elfu4 ishakuteketea, sembuse kwenda town 😀
 
Ushauri mzuri but hairuleout unuhimu wa gari. Gari ni muhimu sana hasa ukiwa na familia. Inadaidia kwemye mizunguko ya kifamilia na hata emmergence mbalimbali. Mimi nimepaki kitokana na kuona gharama zinakuwa kubwa sana, wakati naweza tumia cheap altenative.

Sawa ndugu, na kwa sababu ulizotoa Upo sahihi
 
Back
Top Bottom