Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Mkuu karibu sana ofisini.

Usipaki gari
 

Attachments

  • 57433A7A-8730-4257-9D04-9A510D6A1094.MOV
    45.3 MB
Unaongea usichokijua!!!!
Tufanye mimi ninayegeuza na gari sababu sipendi kusimama
Chanika to gongo la mboto 800
Gongo la mboto to posta 1200
2000 ×2 = 4000, 4000 ×30= 120,000

Route 2
Chanika to M/complex 2100
M/complex to posta 600
Jumla 2700×2=5400, 5400×30= 162,000

NB: HII NI KWA WALE WANAOPENDA KUGEUZA NA GARI! KUMBUKA SIO KILA SIKU MTU ATAENDA MJINI.
Aya hiyo laki nne ipo wapi???
Etugrul Bey
Libarikiwe tumbo lililokubeba.

Mungu amekujalia akili nyingi sanaa.
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Mmmmh kakaa..!!

Hilo gari lako ni bus nn mpaka km 20 ukatumia lita 4?

Maana kama kwenda km10 na kurud km10 sasa iweje utumie lita 4 kwa km 20?
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Usumbufu wa public transport ndio shida na mara nyingi hawendi na mda wa mteja labda bodaboda.

Mwisho kama wewe ni maskini unategemea salary ya serikali unanunua gari la nini?
 
wanao kaa mbagala, gongo la mboto na chanika wanafanya kazi posta na masaki japo wanalipa nauli lakini garama ya hiyo nauli kwa siku ni sawa na wanao miliki magari tu....nauli kwa mwezi laki4 mshahara laki7
Mbagala posta Bei ya juu ni Tsh 1000 tu Kwa daladala


Hapo ni sawa na 2000 × 30 = 60,000


Hata mtu anayekaa Mkuranga hiyo hela halifiki, maana atatumia maximum 5000 Kwa siku ambayo ni 150k Kwa mwezi.

Huwezi ukawa una mshahara wa laki 7 halafu utumie bajaji kila siku.



In short hakuna mkoa wenye gharama nafuu za usafiri kama Dar es salaam


Nikitegemea useme gharama Yake ipo kwenye foleni
 
Mbagala posta Bei ya juu ni Tsh 1000 tu Kwa daladala


Hapo ni sawa na 2000 × 30 = 60,000


Hata mtu anayekaa Mkuranga hiyo hela halifiki, maana atatumia maximum 5000 Kwa siku ambayo ni 150k Kwa mwezi.

Huwezi ukawa una mshahara wa laki 7 halafu utumie bajaji kila siku.



In short hakuna mkoa wenye gharama nafuu za usafiri kama Dar es salaam


Nikitegemea useme gharama Yake ipo kwenye foleni
wa mbagala wanakuangalia kwa uchungu 🐒
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.

Ukiona hivo bro, ujue umeanza kufilisika. Baadaye hata bajaji utaona unapoteza pesa. Matokeo yake utakuwa unachelewa biz zako za maana na hata unaofanya nao biz wataanza kukuona mbabaishaji. Hapo ndiyo mwanzo wa vyuma kukaza.
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Uza gari ununue mafuta mkuu.
 
ila la mimi kutamani siku moja nimchinje mmoja lichukulie serious
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha kitu, nweiii
Sio rahisi km unavowaza, badala ya kuchinja utaanza kudate nae niamini mie.
 
Kasema mshahara 700k,nauli 400k.
Ila msimbeze..anaweza kuwa sahihi. Kuna jamaa yangu anaishi Chanika na familia yake.

Anafanya kazi Makumbusho na mke wake anafanya kazi Mnazi mmoja.

Kutoka kwake mpaka kituo cha daladala lazima wapande bodaboda kwa 1500 na hawawezi kupanda "mshikaki"
(Hii ni kwenda kituoni tu,kuna wakati wa kurudi pia)

Ana mtoto wa shule,anamlipia 35k kwa mwezi.

Jamaa anapata shida sana mpaka anatamani arudi mjini akapange ila mke wake hashauriki.
Kipindi cha mvua ndo inakuwa balaa..
😂😂😂😂😁😁😁😆😆😆🤪🤪 Mtu ya mjini Darslamu 😀😀
 
Uwongo sio mzuri Chief,, usiongee Just kuwafurahisha watu,mtu anayekaa chanika na kufanya kazi posta hutumia buku tatu kwenda na kurudi.

Atapanda mpk gmboto nauli 800 then kutoka pale mpk posta 700 jumps 1,500 na kurudi hivyo hivyo

Ruti namba mbili anapanda kutoka chanika mpk machinga complex 1,300 na pale mpk posta 600 jumla 1,900 na kurudi jumla 3,800

Haya laki nne yatoka wapi?
Ila uongozi wa Samia unawafukarisha sana watu aisee!
.
Yani dar hii nauli ruti 1,300
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Nunua passo
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Mwezi wa mfungo unakuja, ccm wabaguzi hawajatoa tamko la punguzo?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom