white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Sio kweli, hebu nipe mchanganuo huo hasa kwa mtu anayeishi mbagala na kufanya kazi posta au masaki!!wanao kaa mbagala, gongo la mboto na chanika wanafanya kazi posta na masaki japo wanalipa nauli lakini garama ya hiyo nauli kwa siku ni sawa na wanao miliki magari tu....nauli kwa mwezi laki4 mshahara laki7