Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Bro lita nne unalalamika? Hata yakishuk si 10,000 huko
 
unaongea kirahisi sana,

utaganda kituoni hadi asubuhi kwa hizo nauli zako....


nauli ni kuanzia elfu2..
huwezi rudi na chenchi kwenye elf10
hapo hujala wala kuacha kitu home
Naona wewe unataka kubishana, hatuzungumziii hela ya kula hapa, ishu ni nauli.

Ukitaka kuzunguka na basi hiyo ni ishu nyingine pia, lkn hapa tunazungumzia nauli ya kawaida
 
ikifika saa mbili tu hadi boda wanapandisha nauli dah...

asubuhi ukitoka home na libuku ten huwezi rudi home hata na senti moja zaidi ya njaa, miayo na kutia huruma tu...
Ruti gani hiyo isiyo na magari dar hii??
Ruti gani isiyo na bajaji?

Labda uwe unaishi ndani ndani huko labda ukifika gomz upande daladala, uje upande boda tena ...

Na asubuhi ukiwahi nauli ni rafiki na bei ileile kwenye daladala.

Anaetumia laki 4 ni pesa tu zinamuwasha au kafuga kitambi so usafiri wa umma unampa tabu
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Umefanya maamuzi ya mazuri.Wapo watu wanaishi kwa kuteseka ili kuwafurahisha wengine.Anaona bora atumie gharama kubwa atembelee gari kuliko alipark maana anaona aibu watu watamuonaje?
 
K
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Kwanin ucjisajili uber au bolt ufidie hizo garama na upate exposure ya kutosha. Unaweza kupata kaz ukiwa kazin
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Gari yako ni aina gani
 
Back
Top Bottom