Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu anatumia ambacho anakimudu. Daladala zinatesa asikuambie mtu. Mnabanana kama mahindi halafu kupatikana shida sana asubuhi.Ruti gani hiyo isiyo na magari dar hii??
Ruti gani isiyo na bajaji?
Labda uwe unaishi ndani ndani huko labda ukifika gomz upande daladala, uje upande boda tena ...
Na asubuhi ukiwahi nauli ni rafiki na bei ileile kwenye daladala.
Anaetumia laki 4 ni pesa tu zinamuwasha au kafuga kitambi so usafiri wa umma unampa tabu
Mkuu [emoji16] hata kama unakuchukia Chanika au mbagala hii too much ...nauli laki nne kweli??wanao kaa mbagala, gongo la mboto na chanika wanafanya kazi posta na masaki japo wanalipa nauli lakini garama ya hiyo nauli kwa siku ni sawa na wanao miliki magari tu....nauli kwa mwezi laki4 mshahara laki7
Hii inahitaji moyo, coz kila mtu unaweza kuta ana mizunguko yake hasa jioni baada ya kazi.Kama una workmates ambao mnakaa the same location mgechangia mafuta .
Ila Kama hawapo tumia usafiri wa umma ili usije kushindwa kulipa Ada za watoto
Zipo wapi hizo mkuuTumia Honda CT 110, made in Japan
Hutojuta....!
Kwa hiyo hayo masaa saba ndio yanageuka kuwa laki nnewanatumia masaa ma3 mpaka kufika ofisini na masaa4 kurudi home dah aisee
masaa7 barabarani...
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.
Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.
Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
kwenye bei si tulishamalizana au ndio kwanza umeshuka gongola mboto na umetoka makumbusho saa10 jioni 🐒Kwa hiyo hayo masaa saba ndio yanageuka kuwa laki nne
Mkuu usiwe brutal sana, ni jinsi tu watu tumeamua kupambana
🤣🤣🤣🤣MIMI NILIPAKI MKWECHE WANGU KITAMBO TU NIKACHUKUA PIKIPIKI USED.
NIKITIA FULL TANK NAPIGA MISELE MPAKA NASAHAU MZEE TOFAUTI NA ULE MKWECHE ULIKUA UNANITIA HASARA.
Wacha weeMi mwenyewe niliwahi kupiga hesabu nikagundua Kuhudumia gari ni kama unahudumia familia ya mke na watoto 3 sahivi nime switch natumia pikipiki mafuta ya 10k napata lita 3 na kidogo nazunguka nayo kichizi, hata gharama ya kumlipa bodaboda ni kubwa sana nikilinganisha na mizunguko yangu
Km unamke anaweza fungasha bites za kula vinavyoweka nutrients nyingi km mayai and nyama but they are in form of bites ,panda bajaji yako utasave vitu vjngi snunaongea kirahisi sana,
utaganda kituoni hadi asubuhi kwa hizo nauli zako....
nauli ni kuanzia elfu2..
huwezi rudi na chenchi kwenye elf10
hapo hujala wala kuacha kitu home
Niache niniWacha wee