Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Mi mwenyewe niliwahi kupiga hesabu nikagundua Kuhudumia gari ni kama unahudumia familia ya mke na watoto 3 sahivi nime switch natumia pikipiki mafuta ya 10k napata lita 3 na kidogo nazunguka nayo kichizi, hata gharama ya kumlipa bodaboda ni kubwa sana nikilinganisha na mizunguko yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute hata gari huna, na unajifanya umepaki eti.
Ila JF lol
 
Kila mtu anatumia ambacho anakimudu. Daladala zinatesa asikuambie mtu. Mnabanana kama mahindi halafu kupatikana shida sana asubuhi.
Nilijaribu mara mojamoja kutumia daladala nikaona loh kwanini nijitese na maisha yenyewe haya.
Sasa kama ni hivo basi haina haja ya kulalama kua anatumia gharama kubwa wakati altenative zipo kibao ila tu ni kupenda luxury life.

Sioni ubaya wa daladala ila kwa wasiofata muda, na watu wanene daladala kwao ni tatizo.
 
kama kipato chako kwa mwezi ni chini ya milioni 6 usinunue gari ,vinginevyo utakuwa mwizi au mtumwa wa maisha yako mwenyewe, by genarali ulimwengu.

sio dhambi kabisa kupanda usafiri wa uma,tena huwa nashangaa mtu anaenda mpaka posta kwa piki piki ya kukodi shilingi elfu 7/7 kila siku,najiuliza kwani kama ana haraka si aamke walau saa moja!!!!

anyway kila mtu na hela zake,ila generali alishauri hivyo hapo juu.
 
Kuna tatizo kubwa la watanzania wengi kutokubaliana na ukweli wa hali zao. Mtu anajikamua na kununua gari bila kujali kuwa gari linahitaji pesa liweze kutumika. Kama una kipato cha chini ya 26m kwa mwaka achana na mambo ya gari. Sio level yako.
Mkuu mbona hata kwa kipato cha 5milion kwa mwaka unaweza kumiliki na kumudu gari vizuri kabisa.

Ishu ni aina gani ya gari.

Unaweza kupata Toyota Vitz, Plat, IST au suzuki Swift, Camy na wadogo zao.

Tatizo watu wanashindwa kujua au kujibu swali la kwanini unanunua gari?, ili ulitumie wapi na je kumiliki gari kwako ni mahitaji au uhitaji?.

Mfano mimi gari ni mahitaji ya lazima kabisa sawa na viatu au mavazi, ila nilitafuta gari inayokaa kwenye kutimiza hayo mahitaji tu sikutafuta mbwembwe za kuvimba njiani huku nakamua mfuko na kweli linanisaidia sana
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Mbona ulichelewa mkuu kufanya hayo maamuzi mazuri na ya maana kabisa.
 
Nina pikipiki boxer 150 na nina gari Gx110.
Nikitoka na pikipiki natumia mafuta ya elfu 5 kwenda na kurudi plus misele kazini.
Nikitoka na gari nalipia mafuta 25k hadi 30k.parking vile vidada vinascan kwa siku 4500. Traffic akinishika analamba 5K au akiandika 30K. Juzi aliakagua fire extinguisher sina akaandika.

Nachofanya week days natoka na pikipiki isipokuwa friday,Saturday na Kanisani Jpili.
 
Mkuu mbona hata kwa kipato cha 5milion kwa mwaka unaweza kumiliki na kumudu gari vizuri kabisa.

Ishu ni aina gani ya gari.

Unaweza kupata Toyota Vitz, Plat, IST au suzuki Swift, Camy na wadogo zao.

Tatizo watu wanashindwa kujua au kujibu swali la kwanini unanunua gari?, ili ulitumie wapi na je kumiliki gari kwako ni mahitaji au uhitaji?.

Mfano mimi gari ni mahitaji ya lazima kabisa sawa na viatu au mavazi, ila nilitafuta gari inayokaa kwenye kutimiza hayo mahitaji tu sikutafuta mbwembwe za kuvimba njiani huku nakamua mfuko na kweli linanisaidia sana
Mkuu uko sahihi kabisa. Mimi pia miaka kadhaa nyuma nililazimika kununua gari kwa ajili ya biashara yangu na lile gari nililiendesha kama mara 3 tu mwaka mzima. Mwanangu mmoja ndo alikuwa nalo kila siku kwenye mishe za kazi. Mimi ndo maana nilitangulia kusema watu wawe wanajiambia ukweli kuhusu wao badala ya kujidanganya.
 
Sasa kama ni hivo basi haina haja ya kulalama kua anatumia gharama kubwa wakati altenative zipo kibao ila tu ni kupenda luxury life.

Sioni ubaya wa daladala ila kwa wasiofata muda, na watu wanene daladala kwao ni tatizo.
Hao wanaolalama mfuko ndio tatizo. Wenye nazo wanasukumq mi v8 na wanaona powa. Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
 
Mkuu mbona hata kwa kipato cha 5milion kwa mwaka unaweza kumiliki na kumudu gari vizuri kabisa.

Ishu ni aina gani ya gari.

Unaweza kupata Toyota Vitz, Plat, IST au suzuki Swift, Camy na wadogo zao.

Tatizo watu wanashindwa kujua au kujibu swali la kwanini unanunua gari?, ili ulitumie wapi na je kumiliki gari kwako ni mahitaji au uhitaji?.

Mfano mimi gari ni mahitaji ya lazima kabisa sawa na viatu au mavazi, ila nilitafuta gari inayokaa kwenye kutimiza hayo mahitaji tu sikutafuta mbwembwe za kuvimba njiani huku nakamua mfuko na kweli linanisaidia sana
Mimi gari ni ya muhimu sana, inanisaidia kufika ofisini kwa haraka na kufanya kazi kwa ufanisi. Daladala zina karaha sana, mara asubuhi hawaonekani, wanakatisha ruti, mnajazwa kama magunia.
Natumia 350k kwa mwezi lakini sioni shida.
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Hizo k k ndo pesa ya nchi gani?
 
Back
Top Bottom