Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Mi mwenyewe nimeskia tu kelele sijui kuna niniKuna nn kwani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mwenyewe nimeskia tu kelele sijui kuna niniKuna nn kwani mkuu?
Jf bwana.unaongea kirahisi sana,
utaganda kituoni hadi asubuhi kwa hizo nauli zako....
nauli ni kuanzia elfu2..
huwezi rudi na chenchi kwenye elf10
hapo hujala wala kuacha kitu home
ndugu mwananchi,Jf bwana.
Mh. Mbunge imekuaje tena na mahesabu ya nauli za chanika??
Au hiyo ilikua maisha ya zamani kabla hujawa mbunge??
🤣🤣🤣🤣😉Mi mwenyewe nimeskia tu kelele sijui kuna nini
Jambo la msingi sana, maisha nikuchange na mazingira, mambo yakikaa sawa unaweza rudi na ratiba zako kama awaliKutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.
Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.
Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
🤣🤣 kilometa 10 ni wapi mpaka wapi kwanza"Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu?"
Hata Bajaj achana nazo, tembea kwa Miguu tu.
Aiseee hapo sasa kuna uongo mwingikama kipato chako kwa mwezi ni chini ya milioni 6 usinunue gari ,vinginevyo utakuwa mwizi au mtumwa wa maisha yako mwenyewe, by genarali ulimwengu.
sio dhambi kabisa kupanda usafiri wa uma,tena huwa nashangaa mtu anaenda mpaka posta kwa piki piki ya kukodi shilingi elfu 7/7 kila siku,najiuliza kwani kama ana haraka si aamke walau saa moja!!!!
anyway kila mtu na hela zake,ila generali alishauri hivyo hapo juu.
Boda nazo ni hatari unaiweka roho yako mikononi mwa Allah
Je waajiriwa wote wana hiyo mishahara?Kama mshahara wako gross ni pungufu ya mil 6 ni hasara kupanda private car Dar. Hakikisha kipato chako Kwa mwezi ni mill 6 either mshahara, au mshahara na madeal mengine.
Tatizo la wabongo wananunua mashangingi badala ya kununua magari simple ya kuweza kuhudumia ,alafu ukiwa njiani pakia vi abiria upate Hela za mafutaKuna tatizo kubwa la watanzania wengi kutokubaliana na ukweli wa hali zao. Mtu anajikamua na kununua gari bila kujali kuwa gari linahitaji pesa liweze kutumika. Kama una kipato cha chini ya 26m kwa mwaka achana na mambo ya gari. Sio level yako.
Kama mshahara wako gross ni pungufu ya mil 6 ni hasara kupanda private car Dar. Hakikisha kipato chako Kwa mwezi ni mill 6 either mshahara, au mshahara na madeal mengine.
Mzee Naishi Italian Na IST nikizama kituoni nazoa watu 1,000@4 =4,000/= Mpaka Lami….Naoza tena 2,000@4=8,000/= mpka Gomz gomz nazoa 2,000@4= 8,000/= mpka Mnazi mmooja Almost 21,000/= Lita Saba IST consumption Liter 1 km 18 cha kufia nini hela ya mshahara ni kwaajili ya Service tu at the end of the month 🚶🏻♂️Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.
Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.
Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.
Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.
Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
ingia kituoni kufa na watu beba watu 2,000/= hutajutawanao kaa mbagala, gongo la mboto na chanika wanafanya kazi posta na masaki japo wanalipa nauli lakini garama ya hiyo nauli kwa siku ni sawa na wanao miliki magari tu....nauli kwa mwezi laki4 mshahara laki7
Mzee Naishi Italian Na IST nikizama kituoni nazoa watu 1,000@4 =4,000/= Mpaka Lami….Naoza tena 2,000@4=8,000/= mpka Gomz gomz nazoa 2,000@4= 8,000/= mpka Mnazi mmooja Almost 21,000/= Lita Saba IST consumption Liter 1 km 18 cha kufia nini hela ya mshahara ni kwaajili ya Service tu at the end of the month 🚶🏻♂️Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.
Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.
Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Huo mji ni shidaunaongea kirahisi sana,
utaganda kituoni hadi asubuhi kwa hizo nauli zako....
nauli ni kuanzia elfu2..
huwezi rudi na chenchi kwenye elf10
hapo hujala wala kuacha kitu home
Mimi ninaishi mbagala, na kazi nafanya bunju, ila nauli yangu kwa siku ni 3800!!niambie hiyo 400,000 kwa mwezi inafikaje kama utatumia daladala?mchanganuo wa nini kwenye kitu halisi na bayana kabisa....
mchanganuo wa nini kwenye kitu halisi na bayana kabisa....