username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
Mimi ni mwanaume umri miaka 33.
Kazi ; nipo mwaka wa mwisho kimasomo (udaktari) niliamua kurudi kupiga tena kitabu sasa nipo mwa mwisho kimasomo .
Natafuta mchumba (ke) kikubwa awe msikivu kwangu sichagui umri wala kabila.
Makazi yangu yapo dar, na mpenzi wa mwisho nilimpata humuhumu ila tulishindwana na nikamtaarifu kiamani Kila mmoja aangalie ustarabu wake.
Mdada aliye tayari aje inbox ila awe wa dar tu long distance relationship huwa siziwezi na nakuwa mvivu kwenye mawasiliano.
Kazi ; nipo mwaka wa mwisho kimasomo (udaktari) niliamua kurudi kupiga tena kitabu sasa nipo mwa mwisho kimasomo .
Natafuta mchumba (ke) kikubwa awe msikivu kwangu sichagui umri wala kabila.
Makazi yangu yapo dar, na mpenzi wa mwisho nilimpata humuhumu ila tulishindwana na nikamtaarifu kiamani Kila mmoja aangalie ustarabu wake.
Mdada aliye tayari aje inbox ila awe wa dar tu long distance relationship huwa siziwezi na nakuwa mvivu kwenye mawasiliano.