MAJIBU YA MASWALI YAKO:
1. NDIYO, ebzi za Mtume Maswahaba walipokuwa wakisilimu na kuingia ktk Uislamu walikuwa hawafungi ndoa ispokuwa wake zao waliendelea kutambulika na shetia ya waislamu jama wake halali HATA KAMA wake hao bado wapo na iman zao za awali.
2. INAJUZU kwako kuongeza wake wengne kwan tayar wewe ni muislamu unayetakiwa kutii maarisho ya Allah na Sunnah za Mtume wake. Haijaalishi mke wakwanza kabadili au laa
3. Hakuna kufunga ndoa upya ikiwa ndoa utafungwa kwa njia mbili zifuatazo:
~Mume na mke wakat wanafunga ndoa yao wote walikuwa bado si waislamu, hivyo baada ya kusilimu kwao wataendelea na ndoa yao na itakuwa ni ndoa halali tu.
~Mwanamme wa kiislamu kumuoa mkristo au myahud, kieha mwanamke huyo aje abadili dini yake. Hapo haitafungwa ndoa upya ile ile ya awali utagesabuka kuwa ni halali.
YANAYOATILISHA NDOA NI:
1. Mwanamke au mwanamme kuritadi (taan kutoka ktk dini ya kiislamu). Mwanamke au mwanamme aliyeritadi ni kafir. Naposema ukafir upo wa namja mbili:
~ukafir wa moja kwa moja, yaan mtu alizaliwa ktk dini isiyokuwa ya kiislamu jama mkristo, myahudi, uhindi n.k
~ukafir kisheria, huu ni ule ambao mtu aliingia ktk uislamu na akaitambua haki kisa baada ya hapo akabadili dini yake kutoka ktk uislamu. Na huu ndo ukafir mbaya zaid kuliko ule wa moja kwa moja au wakuzaliwa.
2. Mwanamme na mwanamke walifunga ndoa wakiwa wakristo kisha baada ya hapo mwanamke akabadili dini yake na kuwa muislamu, NDOA YAO SI HALALI TENA, mwanamke wa kiislamu si halali kwa mwanamme ambaye si muislamu. Tazama Quran 60:10.
3. Ndoa baina ya muuskamu kwa muislamu lakin mume lakin mume au mke akawa haswali kabisa. Tarku swala (yan asiyeswali) huyo ni KAFIRI, ukafuri wake unaingia lile la kundi lapili nililotaja. Asiyefunga Ramadhan pia huyo ni kafir, haijuzu kwao kuoa mwanamke mchamungu wa kiislamu