Mi nafikiri kuna baadhi ya watu mmeshindwa ku read between the lines. Hiyo thread ya Mr. Pascal ina pande mbili zifuatazo
1. Its April First... So joke intended
2. Kama ni kwel basi ameamua kutumia kalam yake na unguli wake wa uandishi kuandika kulalamika kwa kutumia tafsida alichofanyiwa na Serikal... ukisoma maelezo yake kuhusu kilichotokea ikulu na kuitwa bungen kisha ukasoma mgawanyo wa fedha zake katika mchakato wa Ubunge basi jibu linakuwa moja tu nalo ni kuwa ametumia tafsida kulalamika kinachomsibu huku akiwananga CCM.
Huwez kusema hadharan utamtengea fedha msimamizi wa uchaguz ili akusaidie ushinde Pascal anajaribu kuwaeleza wa TZ kuwa mambo hayo yapo
Hajastaafu Uandishi ila ameonyesha ni jinsi gani alivyobobea katika tasnia hii,
Sent from my iPhone using JamiiForums