Nimeamua kutafuta mke ili niachane na maisha ya ubachela(Senior bachelor).

Nimeamua kutafuta mke ili niachane na maisha ya ubachela(Senior bachelor).

Ukitaka kutafuta mke haraka haraka wa kuoa basi kigezo Cha usomi ondoa maana Kuna possibility kubwa ya kupata garasa ukioa msomi kuliko ukioa form four failure...

Ni hivi wanawake wasomi wengi Ni mizigo ukitaka kuoa lazima uwe nae kwenye mahusiano ya mda mrefu kumjua vzr na wewe unatak mke wa haraka hivo basi ondoa kigezo Cha usomi weka Cha uchapakazi...

Ni mawazo ya kijinga lakini yanaweza kukusaidia
Brother sitaki kuoa uneducated kwa sababu wana inferiority complex, pia nahisi hatoweza kuwa mentor mzuri kwa wanangu ili wapate elimu nzuri maana yeye hana.
 
Usimpangie Mungu Mke mwema aliyekupangia kabla hata hukuzaliwa maana yote ufanyayo chini ya jua tayari alishayajua "YEREMIA 1:5"

Pia Mke mwema hutoka kwa Mungu na hakukuwekea vigezo sharti awe amesoma, mzuri wa sura na maumbile, anafanya kazi au awe na mali "METHALI 19:14"
Jobless women ni shida sana. Nataka niwe na Mke ambaye tutazungumza lugha moja.
 
Brother sitaki kuoa uneducated kwa sababu wana inferiority complex, pia nahisi hatoweza kuwa mentor mzuri kwa wanangu ili wapate elimu nzuri maana yeye hana.
Hao waliosoma ushachunguza madhaifu yao na kujua jinsi gani wana tabia chafu kwa kujificha ktk kichaka cha elimu na kazi wanazofanya?

Oa afya na upeo wa Mtu kimaisha ili ufurahie maisha ndugu 7bu hao unaowataka ndiyo wengi wao wamekuwa janga la Taifa kwa kusumbua kila kukicha ktk ndoa.
 
Back
Top Bottom