financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Wewe wapenda zipi kwani za analogia ama hizi za kwetu Digital aka flat ?Nikiibahatisha hata ya mtaani
Siiachi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wapenda zipi kwani za analogia ama hizi za kwetu Digital aka flat ?Nikiibahatisha hata ya mtaani
Siiachi
Watu huwa tunatofautianaHahaaa, ila ndyo zinazopendwa siku hizi ujue, kitu portable za chogo nzitoo kama unabeba dunia[emoji3] [emoji3]
Napenda hizi za kisasa za flat maana digital zinatumia gharama kubwa mpaka upate Modem ndipo uchomeke na uanze kuangalia online moviesWewe wapenda zipi kwani za analogia ama hizi za kwetu Digital aka flat ?
Yap, nae aweke wasifu wakeIli nikusaidie upate mke na ww taja vigezo vyako ili upate anaekustahili.
Basi wewe ntakufaa sana maana nna zaidi ya flat screen, utaenjoy sana [emoji3] [emoji3] [emoji3]Watu huwa tunatofautiana
Wakati mimi nahitaji LCD HD fully flat screen wao wanahitaji yale machogo ya miaka ile
Brother sitaki kuoa uneducated kwa sababu wana inferiority complex, pia nahisi hatoweza kuwa mentor mzuri kwa wanangu ili wapate elimu nzuri maana yeye hana.Ukitaka kutafuta mke haraka haraka wa kuoa basi kigezo Cha usomi ondoa maana Kuna possibility kubwa ya kupata garasa ukioa msomi kuliko ukioa form four failure...
Ni hivi wanawake wasomi wengi Ni mizigo ukitaka kuoa lazima uwe nae kwenye mahusiano ya mda mrefu kumjua vzr na wewe unatak mke wa haraka hivo basi ondoa kigezo Cha usomi weka Cha uchapakazi...
Ni mawazo ya kijinga lakini yanaweza kukusaidia
Jobless women ni shida sana. Nataka niwe na Mke ambaye tutazungumza lugha moja.
Hao waliosoma ushachunguza madhaifu yao na kujua jinsi gani wana tabia chafu kwa kujificha ktk kichaka cha elimu na kazi wanazofanya?Brother sitaki kuoa uneducated kwa sababu wana inferiority complex, pia nahisi hatoweza kuwa mentor mzuri kwa wanangu ili wapate elimu nzuri maana yeye hana.
Mkae mbali kwakweli mile efu tano na mia tano sitini na tatuBig booty lover katika ubora wako, wenye hizi Tv za kisasa hata hatukusogelei .kila rakherii