Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu! Mie nipo masterz (mke na mtt) ila nashangaa wew kuwepo hukoNawe upo kwenye hiyo stage?
Sawaa mkuu, karibu sana! Naamini atakuja aliye mwemaMkuu ni harakati tu za kimaisha ndugu yangu. Ingawa wakati mwingine huwa najishangaa sana.
Poa poa ngoja niingie.kitambo aiseeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo Chakorii. Tutafutane basi mwanamke mzuri. Njoo WhatsApp.
Big booty lover katika ubora wako, wenye hizi Tv za kisasa hata hatukusogelei .kila rakheriiMimi pia nahitaji mke, awe na msambwanda kwanza mengine baadaye
Dooh, si peke yako tupo wengihata mm natafuta Mme ila nmekosa vigezo [emoji25][emoji25]
Habari zenu wana JF? Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu. Nimeamua kutafuta mke ili niachane na maisha ya ubachela(Senior bachelor).
Sifa za mke ambaye Napenda niwe nawe ni kama ifuatavyo:-
1. Awe ni Msomi.
2. Awe na kazi inayoeleweka au hata kama hana kazi. Sipendi kuwa na mke ambaye hana kazi maana ni kero sana.
3. Awe ni mweupe na awe ameumbika vizuri na siyo lazima awe na msambwanda mkubwa sana ila awe na figure amazing.
4. Awe na urefu wa kati- asiwe mrefu sana wa mfupi sana.
Kama kuna mwanamke yeyote yupo tayari kuwa mke. Naomba tuwasiliane.
Mwisho, naombeni ushirikiano wenu katika kumpata mke mwenye sifa nilizozitaja hapo juu.
Ahsanteni sana na muwe na weekend njema.
Tunaelewa usjali mkuu kaza mwendo huko pm.Mkuu ni harakati tu za kimaisha ndugu yangu. Ingawa wakati mwingine huwa najishangaa sana.
Yeye anataka msomi. Kila mtu ana kigezo chake bosiUkitaka kutafuta mke haraka haraka wa kuoa basi kigezo Cha usomi ondoa maana Kuna possibility kubwa ya kupata garasa ukioa msomi kuliko ukioa form four failure...
Ni hivi wanawake wasomi wengi Ni mizigo ukitaka kuoa lazima uwe nae kwenye mahusiano ya mda mrefu kumjua vzr na wewe unatak mke wa haraka hivo basi ondoa kigezo Cha usomi weka Cha uchapakazi...
Ni mawazo ya kijinga lakini yanaweza kukusaidia
Umenena vyema sana, na ni kwa mwenye jicho la 3 pekee ndiye atayekuelewa vzr.Ukitaka kutafuta mke haraka haraka wa kuoa basi kigezo Cha usomi ondoa maana Kuna possibility kubwa ya kupata garasa ukioa msomi kuliko ukioa form four failure...
Ni hivi wanawake wasomi wengi Ni mizigo ukitaka kuoa lazima uwe nae kwenye mahusiano ya mda mrefu kumjua vzr na wewe unatak mke wa haraka hivo basi ondoa kigezo Cha usomi weka Cha uchapakazi...
Ni mawazo ya kijinga lakini yanaweza kukusaidia
Hahha yaani hapo kwenye TV za kisasaBig booty lover katika ubora wako, wenye hizi Tv za kisasa hata hatukusogelei .kila rakherii
Hahaaa, ila ndyo zinazopendwa siku hizi ujue, kitu portable za chogo nzitoo kama unabeba dunia[emoji3] [emoji3]Hahha yaani hapo kwenye TV za kisasa
Umeniacha hoi TV gani hata kichogo haina
Nikiibahatisha hata ya mtaaniHahaaa, ila ndyo zinazopendwa siku hizi ujue, kitu portable za chogo nzitoo kama unabeba dunia[emoji3] [emoji3]