Nimeamua kutangaza Nia na ninaomba Mniunge Mkono katika Hili!

Nimeamua kutangaza Nia na ninaomba Mniunge Mkono katika Hili!

Mkuu mziki wa Lara 1 utauweza wewe na ukulima wako wa nyanya na Alizeti? Maana nayajua maisha ya Lala1 kwa siku yako hivi:
1.Kifungua kinywa Tsh 20,000/=
2.Lunch Tsh 40,000/=
3.Dinner Tsh 40,000/=
4.Huduma za salon Tsh 50,000/=
5.Mafuta ya Gari Tsh 30,000/=
6.Kifurushi cha Internet Tsh 2,000/=
7.Muda wa hewani wa simu Tsh 5,000/=
Jumla Tsh 187,000/=

Kwa wiki moja = 187,000/= X 7 =1,309,000/=
Kwa mwezi 1= 1,309,000/= X 4 = 5,236,000/=
Na hapo bado sijaweka matumizi mengine. Sasa mkuu jipime, mashamba yako ya Nyanya na Alizeti yanaweza kuzalisha fedha hiyo kwa mwezi? Kazi ni kwako!
 
Siasa za mahaba hazijengewi jukwaa Jangwani. Jukwaa Lake MMU. Hehe..
Sema umeongea sana ka mgombea wa kijani na njano.. Ungefanya kama wa magwanda maneno mbili tatu, mkwanja mbele... Mbona Lara angeshakuja hapa zamaani.. Anyway, records zinaonesha alieongea sana ndo mshindi so wish you the best of luck in trying to define your sexual destiny.
 
Mleta mada usikurupuke kupenda ntu usiyemjuwa, lara 1 is one ugly biatch, usidanganyike na ile avatar yake, kwani si yeye umwonae. @lara1 ni jimama lililoshondikana kwa ukahaba hapa mjini, aliolewa mara mbili akaachwa na sasa yuko very bitter na wanaume baada ya kuona kuwa alichezewa na michepuk kisha akaishia kuachwa/kususwa na waume zake wa ndoa. Mpende tu ila usije kushangaa akakugeuzia kibao kutaka akushikishe ukuta. Jichunge.
Ya ukweli hayo mkuu?
 
Pole sana lakini nina matumaini majibu hayatakuwa mabaya sana maana hata akitolea nje mzigo mwambie hata kuwa rafiki inatosha.
 
Mbona haji jamani,...me mwenyewe nimemiss michambo yake hatari...!!
utampata lakini jiandae kufilisika.
Hahhahha kuna msanii aliimba Mungu nijalie demu mpenda pesaa.....unakumbuka hio mistari? Na mimi ngoja nijaribu kuapply hapa
 
Komaa mwanangu, nyanya na alizeti ndio habari ya mjini, hata lara 1 anajua, unaweza kumng'oa kimasikharasikhara hivihivi.
Umeona eeh Dar nyanya 3 ndogo sh.500 sasa Lara 1 ataondokana na hilo tatizo, alizet zinapesa pia atakuwa hangaiki mafuta ya alizeti ya kupikia
 
Katika kulia lia kwako umejisahau kuandika kuwa unafanya kazi gani...???

Unaishi wapi...??

Una masta kadi au viza kadi...???

Nadhani hivi navyo vingekuongezea maksi...
Mbona nimesema mkuu mimi ni mkulima,mambo ya bank mimi ni mgeni!
 
@Lara1... Kuna mlugaluga amekumind huku!. Changamkia dili hiyo!.
 
Habarini wana MMU

Kwanza kabisa kabla sijaandika ambacho nimepanga kuandika naomba nitangulie kwa kunukuu baadhi ya Nukuu hizi

-KUMPENDA MTU SIO DHAMBI
- Gravitation is not responsible for people falling in
love.

Baada ya kunukuu hayo maneno naomba niende kwenye kilichonileta!

Nimekaa nimefikilia na nimeona ni dhambi kubwa kuudanganya moyo kwa kile nacho kipenda kwa kukaa bila kufikisha hisia zangu kwa yule ninaye Mpenda!
Kuliko kukaa na kuendelea kuumia nimeona niseme wazi hapa jamvini nawote mjue na mnisaidie Ya kuwa AM IN LOVE WITH @Lara1 kwa lugha nyepesi ni kuwa ninampenda kimapenzi @Lara1 na ningependa kuwa naye katika Maisha yangu yote hadi kufa!

Niwe muwazi tuu kwenu ya kuwa mtajwa hapo juu simfahamu nikimaanisha sifahamu
-jina lake kamili anaitwa nani
-sifahamu sura yake kifupi sijawahi muona
-Sifahamu anapoishi wala kazi yake zaidi ya ile alio tuambia kuwa anauza wake za watu na sasa ameecha

Kifupi sifahamu chochote kuhusu Lara 1 zaidi ya kujua tu kuwa alikuwa anauza wake za watu na ni mtu wa story hapa JF

Samahani kama nitakuwa nakosea Lara 1 kama unasoma hili lakini sina nia mbaya na wewe ni hisia zangu kwako zilizo nifanya niyaseme haya hapa! Jamani + Lara 1 tambueni ya kuwa Mapenzi ni upofu wazungu husema Love is blind!

Najua mtaniuliza mengi hata Lara 1 naye atanichamba kwa kusema naweza penda mtu nisie mfahamu lakini niwaambie kitu kimoja siku zote REAL LOVE huanzia kwenye kutamani i mean mzizi mkuu wa Real Love kwa mpenzi wako ni Ulianza kwa kumtamani hivyo ndivyo ilivyotekea kwangu kwa Lara 1 mara baada ya kufuatilia comment zake na story zake hapa Jamvini nikajikuta nimefikia kwenye kutamani kuwa naye hadi sasa ndo kumpenda kabisa!

Kwa mara ya Kwanza nilikuwa nashindwa kujua kama Lara1 ni wa kike au wa kiume lakini nilipo fuatilia katika comment na story zake nikajua ya kuwa Lara 1 ni wa kike na kujikuta nikimpenda sana! (Samahani Lara 1 kama nimekukosea)

Napenda kukwambia Lara 1 kuwa nimekuwa fluctuated with you na ningependa kuwa nawe kama nafasi ipo lakini kama haipo nitashukuru Mungu pia

Sijawahi mfuata PM Lara hata Mara moja ( yeye atakuwa shahidi) baada ya kuona ile Thread ya yule dada anae sema amechoka na PM za wanaume nilivunjika moyo, Ila nimeamua kusema hapa ili nawenzangu mnisaidie katika hili

Siwezi kusema wa kuandika vyote ambavyo moyo wangu ungependa kumwambia Lara pamoja na nyinyi Lakini kumwambia kuwa nampenda inatosha

Mimi ni mkulima wa kawaida kabisa Wa alizeti,nyanya,karanga,mahindi na vitu kama hivyo sija ajiriwa!

Napenda kutangaza hio nia na kuomba msaada wenu na msaada Toka kwa Lara 1 hata Msaada wa kiushauri utanitosha!

Kukubaliwa au kuto kukubaliwa ni matokeo Jamni na nipo teyari ila ningependa mniunge Mkono na Lara 1 naye mzungumza ni huyu huyu member wa humu JF unae mfahamu!


Anapatikana sinza kumekucha au kona bar Maelezo mengiiiiiiiii. pumba tu..km unapmpna c umfate pm kuliko kutujazia feeds tu hapa.
 
Aisee!
Kaka wewe kaza buti hakuna kinachoshindikana chini ya jua!
Isitoshe Wanawake wana huruma sana.
Na kwakua Umejieleza vizuri Mungu akusaidie tu!
 
Mkuu mziki wa Lara 1 utauweza wewe na ukulima wako wa nyanya na Alizeti? Maana nayajua maisha ya Lala1 kwa siku yako hivi:
1.Kifungua kinywa Tsh 20,000/=
2.Lunch Tsh 40,000/=
3.Dinner Tsh 40,000/=
4.Huduma za salon Tsh 50,000/=
5.Mafuta ya Gari Tsh 30,000/=
6.Kifurushi cha Internet Tsh 2,000/=
7.Muda wa hewani wa simu Tsh 5,000/=
Jumla Tsh 187,000/=

Kwa wiki moja = 187,000/= X 7 =1,309,000/=
Kwa mwezi 1= 1,309,000/= X 4 = 5,236,000/=
Na hapo bado sijaweka matumizi mengine. Sasa mkuu jipime, mashamba yako ya Nyanya na Alizeti yanaweza kuzalisha fedha hiyo kwa mwezi? Kazi ni kwako!


Acha kumtisha mshkaji bana. Kwani kasema anamtaka Meg Q?
 
Nilitafakari sana lakini nikajisemea ngoja nipige moyo konde yeye ndo atakuwa chachu ya mfanikio yangu kama nikimpata

sidhani kama yeye anataka kuwa chachu,yeye anataka uwe umefanikiwa tayari!
 
Back
Top Bottom