Nimeamua kutokuoa

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21,329
Reaction score
28,063
Baada ya kutafakar nimegundua kutokuoa kuna maana kubwa sn.Yani ukitaka uishi vzr usioe duniani hapa,nakwambieni kabisa.
 
Haujasema sababu za msingi za kufanya maamuzi hayo huenda una "sababu za kitoto" au umeathirika kisaikolojia
 
Baada ya kutafakar nimegundua kutokuoa kuna maana kubwa sn.Yani ukitaka uishi vzr usioe duniani hapa,nakwambieni kabisa.
Tobaa!!! haya unataka uoe wapi mkuu? mbona majanga.........
 
Hiyo id yako na ulichokiandika wala haviendani au ww umeanguka chooni ok labda utakuwa mteja wa kwa macheni kinyume na hapo unawalakini ww
 
Ungeandika nini kimekufanya usioe maana kuna mengi duniani kwa mfano wanaume kuolewa pia.
 
Jueni hivo tu wakuu,na wala usilete matusi na msimamo wangu SITAOA kamwee.Kama unadhani nimevurugwa hebu TAFAKARI utajua
 
mhhh endelea kutafakari na uchukue hatua.

Kama umekwazwa sana na mpenzio jaribu kumrudia Mungu kwa ukaribu maumivu yataisha.

Hakuna raha kubwa kama uoe umpendae na akupendae utaishi muda mrefu zaidi kuliko kuwaza kuto oa mkuu.
 
Baada ya kutafakar nimegundua kutokuoa kuna maana kubwa sn.Yani ukitaka uishi vzr usioe duniani hapa,nakwambieni kabisa.

au ndo unataka kutimiza ule msemo wa waswahili "Kama Maziwa na Nyama unapata Ng'ombe wa nini??
 
Baada ya kutafakar nimegundua kutokuoa kuna maana kubwa sn.Yani ukitaka uishi vzr usioe duniani hapa,nakwambieni kabisa.
1-Acha punyeto kijana
2-Uteenager unakusumbua:crazy:
3-Nenda jando kijana😛oa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…