SOLD: Nimeamua Kuuza Tv Yangu 43 Inch Smart Tv Skyworth

Either uuze kwa asara bei kama 400K_500K ili upate pesa kwa wakati kutatua tatizo.

OR ung'ang'ane na hiyo bei utauza miezi 8 baadae huko.
 
chukua mia tano
 
Kuna Tv inaitwa Skyworth?
Anyway kila la kheri
From experience,

Skyworth
Ni MOJAWAPO ya kampuni kongwe Sana barani ulaya.

Tena
Tv zao Ni Orijino na Expensive Sana.

Ndo maana Ni nadra Sana kuzikuta huku kwenye soko letu la dunia ya tatu

Ila zinauzwa uko Ulaya kwa watu mashuhuri.

Yuko daraja Moja na SONY, PANASONIC na HITACHI.

Hata LG au Samsung hawatii maguu KWENYE hizi tv.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…