SOLD: Nimeamua Kuuza Tv Yangu 43 Inch Smart Tv Skyworth

SOLD: Nimeamua Kuuza Tv Yangu 43 Inch Smart Tv Skyworth

From experience,

Skyworth
Ni MOJAWAPO ya kampuni kongwe Sana barani ulaya.

Tena
Tv zao Ni Orijino na Expensive Sana.

Ndo maana Ni nadra Sana kuzikuta huku kwenye soko letu la dunia ya tatu

Ila zinauzwa uko Ulaya kwa watu mashuhuri.

Yuko daraja Moja na SONY, PANASONIC na HITACHI.

Hata LG au Samsung hawatii maguu KWENYE hizi tv.
Mkuu ni kweli kabisa, hata hii yangu ni Dadangu alininunulia direct kutoka Japan alipokua huko kikazi, na iko very unique na picha zake sio kama nyingi za Tanzania, ndo sababu ya kutotak kuiuza sababu naipenda sana sana, i wish hata nitaemuuzia nikiweka mambo sawa nimrudishie pesa yake anirudishie
 
Dah.....ningekuwa na uwezo ningekupa tu hiyo mia saba utatue shida zako tv ubaki nayo....ila ndio hivo shida ni zakwetu wanadam.... haziishi...hata mimi nna zangu hapa.....pole sana chief!
 
From experience,

Skyworth
Ni MOJAWAPO ya kampuni kongwe Sana barani ulaya.

Tena
Tv zao Ni Orijino na Expensive Sana.

Ndo maana Ni nadra Sana kuzikuta huku kwenye soko letu la dunia ya tatu

Ila zinauzwa uko Ulaya kwa watu mashuhuri.

Yuko daraja Moja na SONY, PANASONIC na HITACHI.

Hata LG au Samsung hawatii maguu KWENYE hizi tv.
Okthen sikua najua hilo by the way Japanese product ziko juu always
 
From experience,

Skyworth
Ni MOJAWAPO ya kampuni kongwe Sana barani ulaya.

Tena
Tv zao Ni Orijino na Expensive Sana.

Ndo maana Ni nadra Sana kuzikuta huku kwenye soko letu la dunia ya tatu

Ila zinauzwa uko Ulaya kwa watu mashuhuri.

Yuko daraja Moja na SONY, PANASONIC na HITACHI.

Hata LG au Samsung hawatii maguu KWENYE hizi tv.
Tayari sisi wa Mburahsti tulishaanza kuiponda...
 
Pole sana chief kwa unayopitia.Tv n nzuri ila changamoto ukwasi kwa raia.Kama imeshindikana basi chukua tu hyo 500k endapo itaweza solve shida yako.
Usiombe kukutwa na shida huku ukwasi teh.
 
tv ni kali hata kwa dirisha la jf sijui live ikoje.

ningekuwa na pesa nisingesita mkuu,kila la kheri.
 
pole sana bro.kweli ni shida imekusukuma kuuza hiyo kitu.mi mwenyewe nitauza langu mda si mwingi kwa hali hii inavyoenda hamna watalii.nikiichek hii samsung cuvvy nakuja kuuza bei ya hasara roho inauma sana
 
Ni Japanese Volume, bado mpya kabisa, Ina features nyingi sana.
Price : 700,000 maongezi yapo

Niliweka tangazo langu humu nikihitaji msaada wa kukopeshwa kiasi cha pesa kwa dhamana ya vitu vyangu. Lakini nikakosa na waliojitokeza ni kama hawakuwa tayari pia, nimeamua kuuza TV yangu ambayo naipenda sana na naumia kuiuza lakini sina namna zaidi ya kufanikisha jambo langu.

Ukihitaji TV nipigie : 0682378102

View attachment 1511615View attachment 1511616View attachment 1511618
Skyworth ni Mchina sio Mjapan
Screenshot_20200724-024525_Chrome.jpg
 
Daaah maisha haya[emoji134][emoji134][emoji134]
Auntie ninunulie basi ila kimfaacho mtu chake acha auze atatue tatizo ajipange akipata hela anunue nyingine

Mungu akusaidie mkuu
 
Auntie ninunulie basi ila kimfaacho mtu chake acha auze atatue tatizo ajipange akipata hela anunue nyingine

Mungu akusaidie mkuu
Auntie nikikununulia ile yako wapeleka wapi?
 
From experience,

Skyworth
Ni MOJAWAPO ya kampuni kongwe Sana barani ulaya.

Tena
Tv zao Ni Orijino na Expensive Sana.

Ndo maana Ni nadra Sana kuzikuta huku kwenye soko letu la dunia ya tatu

Ila zinauzwa uko Ulaya kwa watu mashuhuri.

Yuko daraja Moja na SONY, PANASONIC na HITACHI.

Hata LG au Samsung hawatii maguu KWENYE hizi tv.
Kwa kuwa jamaa anashida watu wamekazia kwenye 500 daah sio poa
 
Back
Top Bottom