Mkuu ni kweli kabisa, hata hii yangu ni Dadangu alininunulia direct kutoka Japan alipokua huko kikazi, na iko very unique na picha zake sio kama nyingi za Tanzania, ndo sababu ya kutotak kuiuza sababu naipenda sana sana, i wish hata nitaemuuzia nikiweka mambo sawa nimrudishie pesa yake anirudishieFrom experience,
Skyworth
Ni MOJAWAPO ya kampuni kongwe Sana barani ulaya.
Tena
Tv zao Ni Orijino na Expensive Sana.
Ndo maana Ni nadra Sana kuzikuta huku kwenye soko letu la dunia ya tatu
Ila zinauzwa uko Ulaya kwa watu mashuhuri.
Yuko daraja Moja na SONY, PANASONIC na HITACHI.
Hata LG au Samsung hawatii maguu KWENYE hizi tv.
Okthen sikua najua hilo by the way Japanese product ziko juu alwaysFrom experience,
Skyworth
Ni MOJAWAPO ya kampuni kongwe Sana barani ulaya.
Tena
Tv zao Ni Orijino na Expensive Sana.
Ndo maana Ni nadra Sana kuzikuta huku kwenye soko letu la dunia ya tatu
Ila zinauzwa uko Ulaya kwa watu mashuhuri.
Yuko daraja Moja na SONY, PANASONIC na HITACHI.
Hata LG au Samsung hawatii maguu KWENYE hizi tv.
Mia 5 hamsiniOkthen sikua najua hilo by the way Japanese product ziko juu always
Tayari sisi wa Mburahsti tulishaanza kuiponda...From experience,
Skyworth
Ni MOJAWAPO ya kampuni kongwe Sana barani ulaya.
Tena
Tv zao Ni Orijino na Expensive Sana.
Ndo maana Ni nadra Sana kuzikuta huku kwenye soko letu la dunia ya tatu
Ila zinauzwa uko Ulaya kwa watu mashuhuri.
Yuko daraja Moja na SONY, PANASONIC na HITACHI.
Hata LG au Samsung hawatii maguu KWENYE hizi tv.
Kutowahi kukisikia kitu haimaanishi hakipoKuna Tv inaitwa Skyworth?
Anyway kila la kheri
Jamaa si ameweka namba kabisa hapo?Tv bado ipo?
Apokei simuJamaa si ameweka namba kabisa hapo?
Walikupiga kwa bei hiyoNipo Dar ndugu, Bei ni sawa ndugu , sababu niliinunua 1,100,000 na nimeitumia miezi 7 tu ndugu.
Skyworth ni Mchina sio MjapanNi Japanese Volume, bado mpya kabisa, Ina features nyingi sana.
Price : 700,000 maongezi yapo
Niliweka tangazo langu humu nikihitaji msaada wa kukopeshwa kiasi cha pesa kwa dhamana ya vitu vyangu. Lakini nikakosa na waliojitokeza ni kama hawakuwa tayari pia, nimeamua kuuza TV yangu ambayo naipenda sana na naumia kuiuza lakini sina namna zaidi ya kufanikisha jambo langu.
Ukihitaji TV nipigie : 0682378102
View attachment 1511615View attachment 1511616View attachment 1511618
Auntie ninunulie basi ila kimfaacho mtu chake acha auze atatue tatizo ajipange akipata hela anunue nyingineDaaah maisha haya[emoji134][emoji134][emoji134]
Auntie nikikununulia ile yako wapeleka wapi?Auntie ninunulie basi ila kimfaacho mtu chake acha auze atatue tatizo ajipange akipata hela anunue nyingine
Mungu akusaidie mkuu
Kwa kuwa jamaa anashida watu wamekazia kwenye 500 daah sio poaFrom experience,
Skyworth
Ni MOJAWAPO ya kampuni kongwe Sana barani ulaya.
Tena
Tv zao Ni Orijino na Expensive Sana.
Ndo maana Ni nadra Sana kuzikuta huku kwenye soko letu la dunia ya tatu
Ila zinauzwa uko Ulaya kwa watu mashuhuri.
Yuko daraja Moja na SONY, PANASONIC na HITACHI.
Hata LG au Samsung hawatii maguu KWENYE hizi tv.