Ninunulie bwana auntie acha maswaliAuntie nikikununulia ile yako wapeleka wapi?
Ili ukahonge?Ninunulie bwana auntie acha maswali
Hahahha auntie mimi huyu nihonge jamanj naanzaje ninavyopenda hela za kupewaIli ukahonge?
Nchi ngapi ?pole sana bro.kweli ni shida imekusukuma kuuza hiyo kitu.mi mwenyewe nitauza langu mda si mwingi kwa hali hii inavyoenda hamna watalii.nikiichek hii samsung cuvvy nakuja kuuza bei ya hasara roho inauma sana
Sasa tv mbilimbili ufanyie nini?Hahahha auntie mimi huyu nihonge jamanj naanzaje ninavyopenda hela za kupewa
Hahaha auntie bwanaSasa tv mbilibili ufanyie nini?
Ukitaka kuuza niambiepole sana bro.kweli ni shida imekusukuma kuuza hiyo kitu.mi mwenyewe nitauza langu mda si mwingi kwa hali hii inavyoenda hamna watalii.nikiichek hii samsung cuvvy nakuja kuuza bei ya hasara roho inauma sana
Sasa tv mbilibili ufanyie nini?
Ziko vizuri sisi tumazitumia kazini kama display ya monitor call flow zina miaka minne sasa na hazizimwi muda wote zipo on labda umeme ukatikeMnaweza kufanya research ya hizo Tv then mlete mrejesho ndugu..
Chumbani ni sehemu ya kupumzika jamani.Moja chumbani, moja sebuleni.