ndio, na nikikipata umeisha
siogopi, maana mtetezi wangu yu hai
Mamndenyi jionee kioja hiki tangu lini mpapai ukatoa makaa????
Mamndenyi acha kujiumiza kichwa Mzee hajijui hajitambui pesa za kuhudumia kifaa kama wewe atazitoa wapi? kandambili unazovaa hazimudu atamudu kiatu? mwache ajifurahishe na nafsi yake atakula kuona tu!Mweee sijui chama kaenda wapi jamani au ndo yale mafuriko yameondoa network aje tu alipe deni nitoke kifungoni.
Hebu jaribu!
Huyo chama wako atakuja kukuchukulia kwenye benchi la kliniki ukiwa limao na ukwaju mkononi !
....Ofu kozi yu hai mpenzi.
Ndo naiona hii thread,subiria ninywe valuu nitarudi punde, Mzee you are finished,umdgusa pabaya bora ungemwaga hewa ya sumu Syria.
Arushaone. Mpenzi wakati unaibiwa.
umeona eeee pacha!!
muache ajishaue tu!!
umbea tu! Nani anaibiwa?