Nimeamua kuweka wazi

Nimeamua kuweka wazi

Mweee sijui chama kaenda wapi jamani au ndo yale mafuriko yameondoa network aje tu alipe deni nitoke kifungoni.
Mamndenyi acha kujiumiza kichwa Mzee hajijui hajitambui pesa za kuhudumia kifaa kama wewe atazitoa wapi? kandambili unazovaa hazimudu atamudu kiatu? mwache ajifurahishe na nafsi yake atakula kuona tu!
 
Last edited by a moderator:
Hebu jaribu!
Huyo chama wako atakuja kukuchukulia kwenye benchi la kliniki ukiwa limao na ukwaju mkononi !

haaaaa sijasikia mpare kuvua baharini; umezoea kukamata kambare kwenye mashimo ya tope leo wajiona mvuvi? maji mazito hayo huyawezi kajaribu nyumba ya mungu labda huko utaambulia perege kidogo ubadili kitoweo! Mamndenyi jione kituko cha huyu Judgement!
 
Last edited by a moderator:
Ndo naiona hii thread,subiria ninywe valuu nitarudi punde, Mzee you are finished,umdgusa pabaya bora ungemwaga hewa ya sumu Syria.

nakuaminia we kibabu, haya fanya yale mambo yako basi!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom