Lady doctor.
Tena wewe adhabu yako itaongezeka. Siku ile nimekaa chini ya mgomba, mvua imeninyeshea. The secretary bado akanizingua.
Lady doctor.
Kila mtu ataubeba mzigo wake.
Umemwambia yakimkuta ndo hivyo tena. mi namwitia mwanasiasa wangu aone moto wake.
Mentor. Hawaniwezi. Nimeaga kwetu.
nipo tayari kwa hilo
lakini adhabu mi nitawapa
wanaume tu,na shem wangu Arushaone
mtoe kwny list pia pacha wangu Lady doctor!!
undugulaizesheni at work wasio na mashemeji imekula kwao.......
Mzee na kujipinda kote huko kumleta The secretary chini ya mgomba bado mi mbaya jamani??? Kweli binadamu hamna wema!!! Nimetenda wema acha niende zangu hizo zawadi zako za tindikali na wenzie bora umpe rafiki yangu Mamndenyi zitamfaa kwa mkorogo
We mtoto wee acha hizo.
nipo tayari kwa hilo
lakini adhabu mi nitawapa
wanaume tu,na shem wangu Arushaone
mtoe kwny list pia pacha wangu Lady doctor!!
hahaaaa,hebu nihabarishe
matokeo ya jf star search yametangazwa?
cc ladyfurahia!!