Nimeamua kuweka wazi

Nimeamua kuweka wazi

Umemwambia yakimkuta ndo hivyo tena. mi namwitia mwanasiasa wangu aone moto wake.

Hapa vya siasa havipo!
Hapa mkolezo ni wewe kumanga mavumba ya wenyewe, afu wewe umeibania! Imangwe!
Si umangweke mzee akushushie lisredi la shukrani?
 
Last edited by a moderator:

nipo tayari kwa hilo
lakini adhabu mi nitawapa
wanaume tu,na shem wangu Arushaone
mtoe kwny list pia pacha wangu Lady doctor!!
 
Last edited by a moderator:
Hapa vya siasa havipo!
Hapa mkolezo ni wewe kumanga mavumba ya wenyewe, afu wewe umeibania! Imangwe!
Si umangweke mzee akushushie lisredi la shukrani?

We mtoto wee acha hizo.
 
Last edited by a moderator:
Wa ZEE wa siku hizi bwana..usiyepumzika ukaangalia uzee wako utaishaje, unaangaika na vijana?

Hivi nyumba ndogo ulishaachaga?
 
Back
Top Bottom