Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Mzee ngoja nikalale babe wangu figganigga ananihitaji nimpatie dozi ya malariaHeaven on earth. Namjua Passion Lady vizuri. Wakati wa kazi hana urafiki na mtu yeyote.
Mzee nataka kukijua ndio maana nimeitikia kwa mbwembwe zote......
Mzee ngoja nikalale babe wangu figganigga ananihitaji nimpatie dozi ya malaria
yu hoi taabani ALAMSIKI........
Mzee we jua hivyo.......ukitaka ujue nimejuaje itakula kwako
Mzee nashukuru hujanita mie wala mme wangu [MENTION=23356]Rejao[ /MENTION]
Heaven on earth. Umeshaandaa mikakati gani ya kufikia malengo yako???.
Mzee mpango ukikamilika nitakushirikisha unipe tuisheni
Wewe si umesema unaenda kulala. Nenda sasa.
Mzee mpango ukikamilika nitakushirikisha unipe tuisheni
Lady doctor nae anapewa dozi utabaki wewe tu......hum ndani shauliro
Usiniite tena.........ndio naondoka hivi.........
OLE wako uniite sintogeuka hata kwa dawa
Sijambo shikamoo Mzee!
Papaa Bishanga nakushauri uripoti maramoja.
Kuna kiumbe amekutishia maisha.
Naomba ruhusa yako tu nimgeuze samaki tumle.
hapo ndio umechemsha ni sawa na kumwambia Lady doctor amng'oe kifanyio Arushaone
unadhani inawezekama
Heaven on earth. Pesa wale zangu, dozi wapewe wengine......
thubutu yako! Mumle nani? Nitawageuza panya mliwe na paka
Passio Lady eti haya ya kweli¿¡