Nimeamua kuweka wazi

Nimeamua kuweka wazi

hao wasomali mbona nindugu zangu hawatoweza kuniadhibu ndugu yao.... Kiufupi UMEBUGI MEEEEEN!!!!


Lady doctor. Kila mtu ni ndugu yako??????!!!!

Kila ninayempa kazi unajidai una uhusiano naye.
 
Last edited by a moderator:
=======================
UPDATE.

Jana baada ya kubandika hili bandiko. Mwenyekiti Baba V aliunda kamati ya usuluhishi. Ilikuwa chini ya
Mwenyekiti: Mungi
Katibu: Passion Lady
Wajumbe: Cantalisia, madameB, Heaven on earth, Mrembo by Nature, watu8, mshanajr, @Figganiga.

Mapendekezo ya kamati.
Baada ya kulichunguza hili swala la makini. Kamati ilipendekeza mambo yafuatayo

1. Mamndenyi anipe UTAMU mwezi mzima. Yaani siku 30 asubuhi, mchana, jioni na Usiku.

2. Lady doctor anilipe pesa zangu pamoja na kunipa utamu siku 7.

3. Arushaone na Bishanga wamepigwa faini ya shilingi moja wote kwa pamoja.
Mzee hebu soma kwenye RED. Kumbuka hatukukubaliana upewe dozi kutwa mara tatu. Bali tulikubaliana Mamndenyi na wewe mnatane kwa mwezi mzima isichomoke kitu. tena tukakubaliana Bishanga na Lady doctor watakuwa wanawaletea uji kitandani
 
Last edited by a moderator:
Mzee hebu soma kwenye RED. Kumbuka hatukukubaliana upewe dozi kutwa mara tatu. Bali tulikubaliana Mamndenyi na wewe mnatane kwa mwezi mzima isichomoke kitu. tena tukakubaliana Bishanga na Lady doctor watakuwa wanawaletea uji kitandani

Mungi. Hureeeee.

Huo mnato wa siku 30 si unataka kuniua wewe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom