Anzia na hiyo uone itaishia wapiSema hapo kwenye milioni 7 umeamua kunipa tumaini [emoji28]Shukrani kiongozi [emoji1488]
40m ujenge chumba kimoja?Millioni 40
Ndio40m ujenge chumba kimoja?
Sio room 1..ni kighorofa kumbuka..40m ujenge chumba kimoja?
Gharama ya kujenga aina hii ya ghorofa hata kama ni chumba kimoja, inaweza kuwa sawa na kujenga vyumba vitatu, sebule, dinning na store ardhini.
[emoji1787]Yaani unataka kujenga nyumba au mnara wa maji?
Ghorofa ya chumba kimoja tu!!!
Wakuu ndoto yangu mwenyezi Mungu akinijalia uzima ni lazima nijenge kighorofa chumba kimoja tu!
Yaani unataka kujenga nyumba au mnara wa maji?
Ghorofa ya chumba kimoja tu!!!