Mnyiramba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,141
- 3,119
Wakuu ndoto yangu mwenyezi Mungu akinijalia uzima ni lazima nijenge kighorofa chumba kimoja tu!
Kutema mate ukiwa juu aisee kuna raha yake! Kupiga bao ama kushangilia goli ukiwa juu!
Wataalamu chumba kimoja na sebule yaani sebule chini chumba juu kwa makadirio inaweza kunicost bei gani?
Ukubwa ni mita 5 kwa 5.
Kutema mate ukiwa juu aisee kuna raha yake! Kupiga bao ama kushangilia goli ukiwa juu!
Wataalamu chumba kimoja na sebule yaani sebule chini chumba juu kwa makadirio inaweza kunicost bei gani?
Ukubwa ni mita 5 kwa 5.