Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Wakuu nimeamua mwaka huu nianze na msingi wa ghorofa call ppila uamuzi kamili nitautoa hapo baadae [emoji276]
Pppppppppppppp p killed r
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu nimeamua mwaka huu nianze na msingi wa ghorofa call ppila uamuzi kamili nitautoa hapo baadae [emoji276]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], Ndo maan wanaviita vijiwe vya kidigitali. Cku moja nkitembelea chit-chat bila shaka ntakukuta kule. [emoji28][emoji28]Baada ya ghorofa kupiga mzinga huko moshi vijijini,nimekaa chini nimetafakari na kugundua inatakiwa nijipange kweli kweli ili nijenge msingi imara maana ndoto zangu ni kutumia nondo za 12mm kwenye columns na 10mm kwenye beams kwenye slaps nilitaka kutumia 8mm ili kupunguza gharama bado natafakari kwanza![emoji276]