Cha kutambua ni kuwa kazi zitaendelea kuwa nyingi. Muda wa masuala ya kifamilia utakosa vilevile unapokuwa umejiajiri. Labda kuongezeka kwa kipato kama utakuwa na nidhamu ya utafutaji na utumiaji! Hii nimeangalia kujiajiri ukiwa na mtaji wa laki tano!! Kila la heri!mimi kinachonikera ni kazi nyingi mshahara sion nimefungwa hata mambo yangu ya kifamilia sifanyi yani sifanyi chochote
Duh you people hii mnasema kufurahisha genge amaa...hehe ujue inategemea na unafanya shughuli gani, Kuna kazi zinawalipa watu jmn acheeeniii mjasiriamali hatii mguupoint mkuu umesema yaani ni afadhali ujishughulishe kwa kile ambacho unakifanya wewe kuliko kutumikia maofisi ya wenzako unawatajirisha wao wewe unabaki maskini yaani huyu kaamua vyema sana
Mkuu vipi tena kuchanganya mambo hapaNnauza incubator ya mayai 3500 ipo mwanza. Tsh 3.5M.
Hahahaaaamungu akubariki sana ,yani mm tapeli!
Duh you people hii mnasema kufurahisha genge amaa...hehe ujue inategemea na unafanya shughuli gani, Kuna kazi zinawalipa watu jmn acheeeniii mjasiriamali hatii mguu
Ss waweza mshaur mtu kweli aache ukurugenz akauze karanga kisa ni Ujasiriamali?..
U trying to say all of us tuwe wajasiriamali?ataajiriwa nani?
U trying to say all of us tuwe wajasiriamali?ataajiriwa nani?
Inategemea na aina ya Ujasiriamali mkuu,kama haikulipi zaidi ya kazi uliyonayo ya ninii, na miaka yote unasoma ulikua na lengo gani...
Kutoa expenses .,unabaki na shingapi???kumbuka hakuna 50% profit business mkuu.,mostly 10- 20% profit of each profit.Karibu sana mkuu uku mtaani mambo safi ila usife moyo uku ni kusonga mbele.
Kujiajiri kuna raha yake kwa mfano weka biashara itakayokupa angalau afu 20 au 30 kwa siku Mara mwezi 20000×30=laki6
Hii hata mwalimu shule ya msingi hapokei.
Karibu sana!!
Una akili fupi sana Mkuu...Acha kujitafutia shida. Huki sio kipindi kizuri cha kujiajiri. Utakuja kupata magonjwa ya moyo bure. Sasa kama elimu yako mbuzi kwa nini usitumwe tumwe? Kama hupendi kutumwa kaongeze elimu...
Unafikiri.ukikaa mwenyewe ndo utatoboa?jidanganye tu.biashara ngumuu.wenzio wenye mitaji mikubwa wanalia.labda uuze madawa.niweke watu halafu niwalipe tena
Na za kwako ni fupi kama mkia wa mbuzi...Una akili fupi sana Mkuu...