Hapa tunaongea inshu ya kuexpand biashara wewe unaleta habari za accacia hapa. Wewe zero uelewi kinachoongelewa eeeKuwaita Accacia Wanyonyaji ni upotoshaji.Mkataba wao ni wa kisheria na una pande 2, wao kama wawekezaji na Tz kama mmliki. How comes wawe wanyonyaji? Tusil aumu tulipo anguka bali tulipo jikwaa.Nimtazamo tu!
Nimeamua nithubutu ingawa nina mtaji pungufu ya laki saba. Nawe waweza jaribu mahali unapoishi ingia hapa uone nilianzaje.Kaka biashara ya mchele unafanyeje? Tushirikishane. Unatoa wapi mchele na unapeleka wapi
Ahsante nimeipitia kwa umakini. Hongera sana mkuu. Ulikuwa unatoa wapi manake nimeona unanunua mashineniNimeamua nithubutu ingawa nina mtaji pungufu ya laki saba. Nawe waweza jaribu mahali unapoishi ingia hapa uone nilianzaje.
Nilikuwa natoa tabora,nzega,Kahama,shinyanga lakini kwa sasa mpaka mbeya nafuata.Ahsante nimeipitia kwa umakini. Hongera sana mkuu. Ulikuwa unatoa wapi manake nimeona unanunua mashineni
Ahsante mkuu. Pia hongera kwa juhudi zako.Nilikuwa natoa tabora,nzega,Kahama,shinyanga lakini kwa sasa mpaka mbeya nafuata.
1.Azam na DSTV.
2.Azam 15000,DSTV 184000 kwa mwezi.
3.Umeme ni wa luku kwa siku naweza tumia wa elfu tano(Maximum).Population nimeyotagert ni watu 200 mpaka 300 kwa mechi hasa ligi kuu wingereza.Hapo bado uefa.
Sijakuelewa mkuu.andika yako tu kweli we MTHOMI
mi nna uzoefu na mambo hizo..ukiwa mjanja cost hizo hazifiki mkuu..1.Azam na DSTV.
2.Azam 15000,DSTV 184000 kwa mwezi.
3.Umeme ni wa luku kwa siku naweza tumia wa elfu tano(Maximum).Population nimeyotagert ni watu 200 mpaka 300 kwa mechi hasa ligi kuu wingereza.Hapo bado uefa.
Ukiwa mjanja kiaje mkuu ili kupunguza hizo gharama zisifike.mi nna uzoefu na mambo hizo..ukiwa mjanja cost hizo hazifiki mkuu..
Ahsante.Hongeraaaaaa
OK ahsante kwa mchango wako kiongozi.Aza kuuza vyupi vya akina dada
tupeane huo ujanja kakami nna uzoefu na mambo hizo..ukiwa mjanja cost hizo hazifiki mkuu..
Kingamuzi ni cha DSTV tuu na si pengineTuanzie hapa
1. Unataka kutumia king'amuzi gani?
2. Bundle gani/na gharama yake ni kiasi gani?
3. Umeme utatumia kiasi gani?
Sasa tuje kwenye targeted population niyakutosha na itaendana na bei ambyo umepanga
Tofauti ya kifurushi cha compact plus,premium ni nini?.Kingamuzi ni cha DSTV tuu na si pengine
Nunu kufurushi cha Compact plus
Maisha yaendelee na kama una hitaji gonga like nikuletee kwa anae ishi Dar kwa mkoani tunatuma pia
Ushawah kuifanya??Aza kuuza vyupi vya akina dada
naku pm inashindikana n pm mkuuTofauti ya kifurushi cha compact plus,premium ni nini?.