Nimeamua nifanye biashara ambayo mahesabu yananionyesha nitapata hasara

Mkuu
 
Kweli mkuu nakuunga mkono ufumuliwe kabisa hausaidii chochote, maana hata ww umeandika maneno mengi kweli ila hakuna mchango wowote kuhusu tatizo la jamaa uliotoa
Uko sahihi mkuu maana hata wewe umejikita kwenye mapungufu ya mchangiaji huyu sio kumshauri mleta mada.

Mkuu mleta mleta mada yafuatayo ni mambo ya msingi kuzingatia katika hilo unalotaka kufanya
1/mahali unapotaka kuweka biashara yako
2/aina ya wateja watarajiwao ,hali zao kiuchumi na makadirio yao kiidadi
3/Aina ya kisimbuzi/visimbuzi unavyotarajia kutumia na gharama za vigurushi
4/gharama ya umeme na nyinginezo
Hapo ukiweza kufanya mahesabu vizuri unaweza kupata jibu ila usitegemee matokeo ya mda mfupi. By the way biadhara yoyote inahitaji ubunifu ni jambo la msingi
 
Wasomi raha sana risk cost analysis nyingi pia kuja na altenative solution ndio maana hadi kuna watu wanashuka ubungo kila Leo baada ya mwaka uchumi wake unakua mkubwa kuliko vijana wa mjini . Nakushauri mkuu tumia kisumbuzi cha dstv na azam tu maana vinginevyo matangazo yatakatika katikati ya game . Visumbuzi vya ujanja ujanza sio gurantee maana kila mda mfulani vinakatiwa channel. Utarudisha hela za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…