Nimeamua nihame Mji baada ya mke wa mtu kuniletea Msala

Chai kama chai nyΓ­ngine
 
Hii ndyo Tanzania aisee
Acha tu Report za CAG watu wapige hela
MAMBUMBUMBU NI WENGI
Mkuu nimecheka sana, kwanza nikaingia ndani kuchukua viatu ILI nivae niondoke, pili kitendo cha kumuita jamaa bwege mchepuko aliomuona nao kina maswali mengi nyuma ya pazia, tatu huyo mwanamke ni malaya wa kiwango cha lami,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa mwendo huu flyover ya maana Tanzania itabakia kuwa moja tu ile ya Ubungo...
 
Azinie na mwanamke hana akili kabisa..hvo ww bwege huna akili kabisa na hatuna Cha kukushauri labda upeleke huo upumbavu wako Facebook unaweza pata washauri kule.
 
Mkuu nimecheka sana, kwanza nikaingia ndani kuchukua viatu ILI nivae niondoke, pili kitendo cha kumuita jamaa bwege mchepuko aliomuona nao kina maswali mengi nyuma ya pazia, tatu huyo mwanamke ni malaya wa kiwango cha lami,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu nilikuwa kibarazani mbele ya nyumba tunapata hewa na kuangalia wapita njia, huku viatu vyetu tukiwa tumeviacha ndani.

Ilikuwa ni mwendo wa pekupeku ili miguu ipitiwe na hewa safi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu nilikuwa kibarazani mbele ya nyumba tunapata hewa na kuangalia wapita njia, huku viatu vyetu tukiwa tumeviacha ndani.

Ilikuwa ni mwendo wa pekupeku ili miguu ipitiwe na hewa safi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Sasa ulianza kuingia ndani halafu ukaacha viatu ndani ndo kutoka au?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Sasa ulianza kuingia ndani halafu ukaacha viatu ndani ndo kutoka au?
Mkuu ulisoma vizuri kweli? Ni hivi hapo nilipokuwa ni kwa brother wangu nilieenda kumtembelea nikafikia ndan kama kawaida.
Kama ujuavyo nyumba zetu za kiswahili baada ya kuingia ndan kabla ya kufika sitting room ambapo unakutana na kapeti, nikavua viatu nikazama sitting room. Brother alikuwa kajipumzisha akaamshwa akaja kujiunga na mimi pale sitting room.

Sasa kutokana na joto kali ikabidi tutoke nje ambapo kuna mlango wa mbele, so viatu vikabaki huko huko sisi tukaenda kutulia kibarazani huku miguu ikiwa wazi ikipata hewa.

Nafikiri umeelewa mkuu.
 
Omba tu Mungu yasikukute. Wanawake wana mitego mibaya sana. Niliapa kutotembea na mke wa mtu ila nilikishindwa kiapo. Sipendi hicho kitu ila niliingia mtegoni
 
Omba tu Mungu yasikukute. Wanawake wana mitego mibaya sana. Niliapa kutotembea na mke wa mtu ila nilikishindwa kiapo. Sipendi hicho kitu ila niliingia mtegoni
Hahaha kweli kabisa. Wengi huwa hawajui kwamba kuna namna fulan mwanamke au mke wa mtu anaweza kuifanya ukajikuta umeingia mzima mzima na kiapo chako huku ukiamini hauwezi julikana na mumewe au mtu yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…